Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,710
- 76,243
Nani kasema? Unaweza ukashika? Nothing goes on vile hatupendi tu.Labda waseme hiyo ndio sababu manake kushikwa makalio ilivyo raha wakianza kushikwa kuacha hawataweza [emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kasema? Unaweza ukashika? Nothing goes on vile hatupendi tu.Labda waseme hiyo ndio sababu manake kushikwa makalio ilivyo raha wakianza kushikwa kuacha hawataweza [emoji1787]
😂😂😂Kalio la mwanaume halishikwi na yeyote... isipokuwa mwenye nalo
ITOSHE TUU KUSEMA NIMECHUKUA FORM.Kwanini hampendi kushikwa makalio?
[emoji28][emoji28][emoji28] dah.. basi yaisheSanaaa
Hawa wanaogoma ni wale wasiopaka mafuta. Tako linakuwa limefubaa mpaka wanaona aibu wenyewe ndiyo maana wanakuwa wakali wakishikwa
Aisee, nini kinakuvutia katika makalio ya mwanaume mpaka uyashike shikeWasi wasi wa nini? Acheni mawazo hasi
Wapo jamani. Kwanini msipake?Hivi kuna mwanaume wanapaka makalio mafuta?
Yalivyo magumu 😆Aisee, nini kinakuvutia katika makalio ya mwanaume mpaka uyashike shike
Ya udiwani ama ubunge?ITOSHE TUU KUSEMA NIMECHUKUA FORM.
Daah, unapaka ili iweje, yani mwanaume unakaa unajipaka mafuta matakoni, daah sijawahi kwa kweli [emoji23]Wapo jamani. Kwanini msipake?
Daaah umenishinda [emoji23]Yalivyo magumu [emoji38]
Hujawahi? Mpendwa jamani. Me ngoja niishie hapa tu 😆😆😆😆Daah, unapaka ili iweje, yani mwanaume unakaa unajipaka mafuta matakoni, daah sijawahi kwa kweli [emoji23]
itoshe tuu kusema nimechukua form...Ya udiwani ama ubunge?
Hujauliza swali lakiniNatabiri uzi huu kujaa comments za wanaume badala ya maswali ya wanawake. Ikibidi na maswali watauliza wao. Wanaume wa MMU wana visebusebu kweli.
Ha ha mpendwa fikiria uko na jamaa yako anajikandika mafuta kwenye makalio, anajigeuza tuu kwenye dressing table yako...hapana kwa kweli [emoji23]Hujawahi? Mpendwa jamani. Me ngoja niishie hapa tu [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]