Inategemea mambo ya kiimbo gani.Ni sawa kwa mwanaume kumsalimia mwanaume mwenzie mambo? Tena ile mambo ya kuvuta[emoji23]
Unaweza kwenda kukaa kwa girlfriend wako ilihali you have your place?
Sent using Jamii Forums mobile app
Anytime tunaweza kua waongo ama wakweli inategemea na tunayeongea nae na kushughulika nae na malengo yetu juu yakeNi wakati upi huwa mnakuwa wakweli kabisa kutoka moyoni kumuambia mwanamke kuwa 'she is sweet'..!!
i; Wakati wa tendo..?
ii; Baada ya tendo..??
iii; Ama ukiwa unahitaji tena tendo.?
Aisee huko kote unafata nini?? Kwako ni mbele sio huko.Kwanini hampendi kushikwa makalio?
Like seriously!!!! 😲Kuna wanaopenda na kidole wanaomba waingiziwe smdh[emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwangu ni popote pale as long as you're mine.Aisee huko kote unafata nini?? Kwako ni mbele sio huko.
Kalio la mwanaume halishikwi na yeyote... isipokuwa mwenye nalo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
SanaaaWakati ni raha sanaaaaaa kushikwa makalio
Una slap vipi aisee, hao kama mwanaume lazima uingie wasi wasiIna maana nikikuslap kidogo ndiyo itabadilisha uanamme wako? Achen uchoyo wa kijinga bana
Haya maswali yako chokonozi kwani unafikiri tunaogopa kushikwa, haya njoo ushike ya kwangu uone utapata faida gani! Ni vile tu haipendezi!!Kwangu ni popote pale as long as you're mine.
Baada ya tendoNi wakati upi huwa mnakuwa wakweli kabisa kutoka moyoni kumuambia mwanamke kuwa 'she is sweet'..!!
i; Wakati wa tendo..?
ii; Baada ya tendo..??
iii; Ama ukiwa unahitaji tena tendo.?
Hakuna faida naipata ila ni vile tu yaan.Haya maswali yako chokonozi kwani unafikiri tunaogopa kushikwa, haya njoo ushike ya kwangu uone utapata faida gani! Ni vile tu haipendezi!!
Wasi wasi wa nini? Acheni mawazo hasiUna slap vipi aisee, hao kama mwanaume lazima uingie wasi wasi
Jibu ni kwamba tako la mwanaume haliko designated na hata kuliangalia halivutii. [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377]Hakuna faida naipata ila ni vile tu yaan.
AiseeWakati ni raha sanaaaaaa kushikwa makalio
kuyaona tu ni mbinde😂😂Hamna raha yoyote ila tu napenda nikutanie just in case nikikuta hujayapaka mafuta
Naomba hela.Acha siasa mdogo niulize swali...
Sanaaa
Hawa wanaogoma ni wale wasiopaka mafuta. Tako linakuwa limefubaa mpaka wanaona aibu wenyewe ndiyo maana wanakuwa wakali wakishikwa
Hivi kuna mwanaume wanapaka makalio mafuta?Wasi wasi wa nini? Acheni mawazo hasi