Wadada ulizeni maswali Wanaume wawajibu hapa

Wadada ulizeni maswali Wanaume wawajibu hapa

kwa kweli nikiguswa kalio hata bahati mbaya naweza pooza hapohapo kwa mshituko.

kwanza kalio la kiume lina nini mpaka uguse!! mwisho uchubuke mikono bure
 
Ni wakati upi huwa mnakuwa wakweli kabisa kutoka moyoni kumuambia mwanamke kuwa 'she is sweet'..!!

i; Wakati wa tendo..?
ii; Baada ya tendo..??
iii; Ama ukiwa unahitaji tena tendo.?
To be honestly, kwa wenzetu wazungu ni baada ya sex ila sisi wakulungwa wa tz ni during sex pale hutuambii kitu[emoji23][emoji23]
 
DADEKI..[emoji28]

We mwanamke umekula au umevuta bange..?
Fahari yetu shika dyudyu hapo najisikia burudani.. Sasa we kama unataka kujua ngumi ni hamira pia fanya upuuzi..[emoji28]
WTF[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Ni wakati upi huwa mnakuwa wakweli kabisa kutoka moyoni kumuambia mwanamke kuwa 'she is sweet'..!!

i; Wakati wa tendo..?
ii; Baada ya tendo..??
iii; Ama ukiwa unahitaji tena tendo.?
Kwangu jibu ni baada ya tendo... hapo nakua nishamuonja
 
Hv wanaume mnataka nini hasa?

Ukipewa kiuno unamwacha unatafuta mwingine, ukinyimwa pia unamwacha unatafuta mwingine, kwanini?

Mnaanzisha mahusiano ukishapewa mchezo unabadilika, mawasiliano yanapunguzwa au kukatwa kabisa, unajifanya upo busy kupita castoma kea, mwisho wa siku unapotezea kabisa! Chakushangaza baada ya muda iwe i.e mwezi, miezi, mwaka kadhaa unarudi tena pale pale unataka muendelee mlipoishia, kwa nini?

Unataka mwanamke mchapakazi, independent, mwaminifu, mcha Mungu, asiyeomba hela, lkn ukimpata unamchukulia poa, hujali hisia zake, wala humuheshimu, kwa nini?

Hebu jibuni hayo kwanza
Tuna penda vipande vipande[emoji3][emoji3]
 
Mi naomba kujua mwanamke mtamu ndo yukoje? Na je utamu ni asili, yaani unakuta wala sio mtundu ktk tendo ila tu ni mtamu i mean yyko kawaida tu hana mbwembwe nyingi. Au utundu ndo unafanya awe mtamu.
Mwanamke mtamua anakua kwanza ni msafi alaf size ya kat siyo mnene hana kitambi, chuchu zake hazijalala kama malapa, Ni saa 6 ukimsogelea tu zinakuchoma kiaina alaf anakua mnato siyo bwabwa.

Bahat mbaya sifa hizi wanawake wanene hawana, tembo ni mzuri kumuangalia mbugani tu siyo kumfuga
 
Natabiri uzi huu kujaa comments za wanaume badala ya maswali ya wanawake. Ikibidi na maswali watauliza wao. Wanaume wa MMU wana visebusebu kweli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tobaaaaaah lol
 
Aahahahahahaaa looh acha leo meno yangu yapunge hewa, ukipata jibu naomba nisendie na mimi looh!!

Ngoja blangata yangu ikae sawa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] duuuuh hapana kwa kweli, but nlikumic mnooh mam kubwa.
 
Duuiiih huu uzi leo umefany siku yangu kuwa bora kabisaaaaah, thanks JF.
 
Khaaaa nina aleji na chumbani mie.

Ila sebuleni na jikoni utanipata.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah
 
Tufanye ukaguzi uanze kwa kufuata Alphabetical order.

Haya, wenye majina ya A wote wageuke tayari kwa ukaguzi, aahahahahahahhaaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom