misstrace
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 649
- 1,484
MakaburiniKwangu sinza....unajua duka la sinza lilipo?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MakaburiniKwangu sinza....unajua duka la sinza lilipo?!
Basi pale na kwangu sio mbali dakika moja haifiki nkitembeaMakaburini
Basi twende apo ukaninunulieBasi pale na kwangu sio mbali dakika moja haifiki nkitembea
Ww ukiwa mitaa hiyo niambie nije kukuchukulia thong za kutoshaBasi twende apo ukaninunulie
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Binti anayejitambua mara zote akiwa anaenda kwenye tendo hujiswafi kuanzia mwili, kinywa, mavazi, chupi, maumbile ya ndani. Yani hata kumlamba unyayo huoni shida. Asiyejitambua ndio huyo anakuja na mavitu ya ovyo ovyo
Vladimir Lenin aliwahi kusema "Show me your friends and I will tell you what you are".
Pia nahisi mabinti hua wanaangalia nani wanaenda kumpa game, kama ni mtu wa maana basi atafanya kujiswafi ipasavyo, lkn kama ni mtu wa hapa na pale basi atakuletea ikiwa kama kiporo.
Spy = spiesSpies???? [emoji15]
tena kubwa sanaKazi ipo aisee
[emoji2] [emoji2]Kuna wengine wanavaaga vijins vimekatwa na kisu ukikisimamisha dede kinasimama
hhhhahah pampersMnunulie aina ya chupi unazopenda mpelekee...kama utamuona tena na pampers zake. Na siku nyingine akienda kununua atanunua aina uipendayo. Simple!
mm sivai kabisaWeka yako tujifunze please
Habari,
Binafsi ni muuminini wa usafi na muonekano bomba iwe nje na hasa ndani.
Kuna katabia ka mabinti kuvaa michupi mibaya huku inaonekana kama madekio. Utakuta mdada mrembo haswaa, ila akikuruhusu kuona chupi yake, daaah! Mpaka mtu unatamani kutoka nduki.
Wakati mwingine unashindwa kutofautisha, hii ni chupi au kaboka?
Kuna bonge mmoja pale mashati, japo alinukia marashi, alikuwa kavaa chupi nyeupe ila ilinichukua muda kugundua maana kitu ilikuwa na maramani kibao kama mkusanyiko wa visiwa vya Mauritius.
Haya, mwingine nilikutana nae pale Clifton hotel, was real super in appearance ila kwa ndani alivaa tight mbili, moja rangi ya ugoro na nyingine sijui pinki au red!! Duh!
Uvaaji huvutia wandugu for both sexes. Usafi ni tunda la tabia. Jitahidi ukivaa vizuri nje, na ndani uvae nguo zenye mvuto. Nguo murua hustawisha mahusiano/ndoa.
Kumbuka: Aliyevuna shamba leo, atalirudia msimu ujao ikiwa lilimpa mavuno mazuri.