kirikou1
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 4,815
- 6,517
miss joto huko ni kali nn😀😀😀bora me sivai chupi.. kwani nalo ni kosa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
miss joto huko ni kali nn😀😀😀bora me sivai chupi.. kwani nalo ni kosa?
Nikikutana na yale ma-tight yao yale yanakua marefu mpaka yanakaribia magoti hakika nitacheza kama game ya kirafiki au ikibidi nasogeza pambano mbele.
Unakuta kapiga "tight" halieleweki rangi gani. mzuka wote unakata.
Ha ha haaaa hii story yako really made my day[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]SIKU NILIPOKOMA UZINZI
Niliingia na demu flan iv gest ,wakuu nilikutana na chupi hioo......, kaniki sio kaniki, dela sio dela, makirikiri sio makirikiri, Dushe nililala fasta ndo nikajua kweli mwili una hisia, Nilizuga naenda Kununua Salama so ikabd niache viatu vyangu, nilishtukia nje nimevaa kandambili badili, nilivyofka reception nikawaambia jmn chukuen buku ya kandambili zenu hizi, mm Uzinzi basi walicheka sana wale wadada, nikakodi boda boda akaniuliza broo unaelekea wap sasa? mana aliona mguuni alikua anajifcha kucheka asijekujiharibia kaz, nikamwambia wewe twende tuu popote, Asivyo na huruma akaenda kuniacha stend na mm akili si haikua vzr nikakubali, Nilikua nimeuramba Mkanda nje full kupendeza, Ilikua aibu kinyamaa kwa ufupi ubrazamen uliisha ghafla nikajitia sijali chochote ili kdg kupunguza tension kwa watu, kufika home ili kukwepa aibu kwa masister na wazazi niliruka ukuta nikapitia dirishani ule usiku siku lala.
hahhhhhhha nacheka balaaa unakutana na litight jekunduuu au purple kha,mmchupi huooo pyeeee,binafs najikubaliNikikutana na yale ma-tight yao yale yanakua marefu mpaka yanakaribia magoti hakika nitacheza kama game ya kirafiki au ikibidi nasogeza pambano mbele.
duh...hope umetokea MUSOMANkiludi pia mapenzi nikuerekezana kama unampenda mwereze at atabadilika na kua smart g
Toa pesa uone kama hata jipenda. Unataka mwanamke akuvalie mavazi mazuri umempa pesa??? Hivi mnajua hizo bidhaa mnazosema zinauzwa tshs ngapi?? Au mmezoea vya kuchinja tu??. Sidiria original full set na chupi yake sio chini ya laki Moja yaani yenye kiwango cha hali ya juu. Sasa jiulize unaweza kuhudumia???
Mependa sana comment yako kula [emoji113]mkeo/demu wako akiwa msafi inatosha,huko kwingine ulitumwa uende? ukome,na unapata wa kufanana na wewe...si ajabu hata saa hii unanusa kiboksa chako ili ukivae siku ya tano...[emoji41]
had ukamvue stim zinakua zimekata ova katoka huko mufindi tehteh me matight yapite hviiYani mtu anavaa skintight mbili?
Binti anayejitambua mara zote akiwa anaenda kwenye tendo hujiswafi kuanzia mwili, kinywa, mavazi, chupi, maumbile ya ndani. Yani hata kumlamba unyayo huoni shida. Asiyejitambua ndio huyo anakuja na mavitu ya ovyo ovyo
Vladimir Lenin aliwahi kusema "Show me your friends and I will tell you what you are".
Pia nahisi mabinti hua wanaangalia nani wanaenda kumpa game, kama ni mtu wa maana basi atafanya kujiswafi ipasavyo, lkn kama ni mtu wa hapa na pale basi atakuletea ikiwa kama kiporo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]KWAHIYO WEWE KAZI YAKO NI KUCHUNGULIA CHUPI ZA WAKINA MAMA?🙁😵
BOXER YAKO MARA YA MWISHO KUIFUA LINI?
mnoo kuna fukutamiss joto huko ni kali nn😀😀😀
hahahaha unacheka tena hawa wanakaliaga kutusemasema lakini maboxer yao yananuka kupita kiwango juzi kati nimekaa na mkaka siti moja almanusura nitapike ananuka boxer sox na ukimuona ni bonge la brother men hahaha nilichefukwa karibu nimwambie aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]
yanga, nilikasirika sanamnoo kuna fukuta
Mwambie ataota funguskuna mmoja nilimkuta kajaladia bukta ya
yanga, nilikasirika sana