Wadada vaeni chupi zenye mvuto!

Mkuu tabia yko sio nzuri maana Source ya Habari yako ni Chabo ulikuwa unaifanya kumbuka wewe ukiwachungulia Dada, Shangazi na Mama wa Wenzio na wako nao wanachunguliwa
 
Ha ha haaaa hii story yako really made my day[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
h
Nikikutana na yale ma-tight yao yale yanakua marefu mpaka yanakaribia magoti hakika nitacheza kama game ya kirafiki au ikibidi nasogeza pambano mbele.
hahhhhhhha nacheka balaaa unakutana na litight jekunduuu au purple kha,mmchupi huooo pyeeee,binafs najikubali
 


Hapo sasa! Wasione ni vizuri... vimegharamikiwa!!
 
mkeo/demu wako akiwa msafi inatosha,huko kwingine ulitumwa uende? ukome,na unapata wa kufanana na wewe...si ajabu hata saa hii unanusa kiboksa chako ili ukivae siku ya tano...[emoji41]
Mependa sana comment yako kula [emoji113]
 

Hapa umeongea ukweli kabisa aiseeh
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]
hahahaha unacheka tena hawa wanakaliaga kutusemasema lakini maboxer yao yananuka kupita kiwango juzi kati nimekaa na mkaka siti moja almanusura nitapike ananuka boxer sox na ukimuona ni bonge la brother men hahaha nilichefukwa karibu nimwambie aisee

lakini wao kuta kucha ni kutusakama msiuuuuuuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…