Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Alafu bado na nyie. Tutakuja na mada yenu.Kuna wadada wana gaga na sugu kwenye visigino anaweza kukuchania shuka lako mkiwa kitandani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu bado na nyie. Tutakuja na mada yenu.Kuna wadada wana gaga na sugu kwenye visigino anaweza kukuchania shuka lako mkiwa kitandani
Hawa tutajaza comments humu maana kuanzia nywele hadi kidole wengi ni shida 😂Hawa Wana misala mingi Sana🤣
Hakuna lingine najua mtatuambia tutafute hela tu ili mtupige vizinga.Alafu bado na nyie. Tutakuja na mada yenu.
Hujasikia matangazo na malalamiko kwenye vyombo vya habari Dawasa wanatoa maji mara 2 kwa wiki?Sio Siri Dar panaongoza wadada kuwa na miguu michafu yaani hadi unashangaa huyu katoka kwenye vanga wapi? hii yote ni sababu ya kusingizia joto na kuendekeza hivi visendo vya kichina .Yaani mtu muda wote hana usafi, unakutana na dada mzuri kavaa nguo yake nzuri ukimuangalia chini anakukata stimu kabisa.
lipo tayariWe jaza bando tu leo😂
Kwenye usafi bwana.Hakuna lingine najua mtatuambia tutafute hela tu ili mtupige vizinga.
🤣🤣🤣 najua mojawapo kati ya hizi haikosekani kunuka kikwapa, mdomo, boksa chafu au harufu kwenye mambupuKwenye usafi bwana.
Huko huko tunakuja 😂🤣🤣🤣 najua mojawapo kati ya hizi haikosekani kunuka kikwapa, mdomo, boksa chafu au harufu kwenye mambupu
Huko chini kwenye kengele za uvunguni huwa mnatafutaga nini mpaka mnakumbana na hako kaharufu mtakuja kufa 😀Huko huko tunakuja 😂
🤣 Sijui, sijawahi hayo mambo.Huko chini kwenye kengele za uvunguni huwa mnatafutaga nini mpaka mnakumbana na hako kaharufu mtakuja kufa 😀
Asante kwa kuchangia kero yako naamini wengi watapata madini hapaHili liwekewe msisitizo kwa wadada wanaojichubua, hawa raia huwa wana miguu inatisha sana kwenye visigino na ankle zao. Unamuangalia mpaka unapata kinyaa.
Wengine wanaenda mbali zaidi wanakuwa na magaga ( visigino vimepasuka), size ambayo hata shillingi inajificha.
Unawaza kama usafi katika sehemu inayoonekana na watu mara kwa mara umeshindikana, vipi huko ndani ambako hapaonekani?
Kero nyinyine ni mawigi, aiseeeeh mengi huwa yananuka vibaya sana. Wale wanaojua kutunza nywele zao zinakuaa na kaungevu fulani na zinanukia, mbarikiwe huko.
Mleta mada asante anaa, naamini watabadilika.