Mrs Besyige
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 1,040
- 2,923
Nasemaje sitaki da mau asemwe πππSawasawa π
Hiyo Id ni ya kiume iko siku mtakuja amini comment yanguπππWeee ππππ
Sasa mbona mi huku sina rafiki..!!
Da mau hebu kunywa maji kwanza ushushe presha..!!
Aliyekwambia humu kuna marafiki kakudanganya, humu tunaishi km msitu wenye wanyama wakali..!!
Ukitoa info zako na ukijirahisisha lazima jf uione chungu.!!
Swali kwako; Je kuna member yoyote umewahi kukutana naye.??
ππππ raha jipe mwenyewemake kwanza ncheke
Weee sema kweli?? π€£π€£π€£π€£Hiyo Id ni ya kiume iko siku mtakuja amini comment yanguπππ
Niamini mimi bestππWeee sema kweli?? π€£π€£π€£π€£
Humu mambo hovyo hovyo
Achana nao, wasikuchoshe my wangu. maisha yenyewe mafupi, tuenjoy. Tuchat zetu inboxYaani mtu ni mzee amekosa wakukumbushia mabifu yenu sasa mnakuja kunitafuta sasa niacheni . Nimechoka na kama mtu anadai nawazibiia rizikii sijaja kuwafuata madanga yenu.
Msinichoshe si jf tu ndio mnaihangaikia . Mnahangaika na mimi tu. Sibadili ID . nanitabakia na ID YANGU NA MTAKEREKA SANA . NA ID MTABADILI MPAKA MWISHO WA dunia kwa upande wenu
Nicheki inbox, maana yako hairuhusu conversationYaani mtu ni mzee amekosa wakukumbushia mabifu yenu sasa mnakuja kunitafuta sasa niacheni . Nimechoka na kama mtu anadai nawazibiia rizikii sijaja kuwafuata madanga yenu.
Msinichoshe si jf tu ndio mnaihangaikia . Mnahangaika na mimi tu. Sibadili ID . nanitabakia na ID YANGU NA MTAKEREKA SANA . NA ID MTABADILI MPAKA MWISHO WA dunia kwa upande wenu
Basi jf ina hekaheka ππππNiamini mimi bestππ
Na kwa nini ucheke na baby yake kwa mfanoπππBasi jf ina hekaheka ππππ
Eee nimesahau kumbe da mau kaniambia niache kucheka πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ
Mi naamini umesomea CubaWeee sema kweli?? π€£π€£π€£π€£
Humu mambo hovyo hovyo
Lile lishangazi langu la humu limemvuruga kivurugeππKumekucha πππ
Nani kamuudhi da mau..??
πππ ma mchungaji puliiiiiz niache usingombanishe na da mauMi naamini umesomea Cuba
Mbona unaniangudhaπ
Liambie lishangazi lako litulie haliwezi kushindana na da mau brand kubwa πππLile lishangazi langu la humu limemvuruga kivurugeππ
πππ Mimi kasema kwann nacheka na adui zake wakiwa wanamsema??Na kwa nini ucheke na baby yake kwa mfanoπππ
πππ ma mchungaji puliiiiiz niache usingombanishe na da mau