Wadada wa humu niacheni

Wadada wa humu niacheni

Weee 😂😂😂😂
Sasa mbona mi huku sina rafiki..!!
Da mau hebu kunywa maji kwanza ushushe presha..!!
Aliyekwambia humu kuna marafiki kakudanganya, humu tunaishi km msitu wenye wanyama wakali..!!
Ukitoa info zako na ukijirahisisha lazima jf uione chungu.!!
Swali kwako; Je kuna member yoyote umewahi kukutana naye.??
Hiyo Id ni ya kiume iko siku mtakuja amini comment yangu😁😁😁
 
Yaani mtu ni mzee amekosa wakukumbushia mabifu yenu sasa mnakuja kunitafuta sasa niacheni . Nimechoka na kama mtu anadai nawazibiia rizikii sijaja kuwafuata madanga yenu.

Msinichoshe si jf tu ndio mnaihangaikia . Mnahangaika na mimi tu. Sibadili ID . nanitabakia na ID YANGU NA MTAKEREKA SANA . NA ID MTABADILI MPAKA MWISHO WA dunia kwa upande wenu
Achana nao, wasikuchoshe my wangu. maisha yenyewe mafupi, tuenjoy. Tuchat zetu inbox
 
Yaani mtu ni mzee amekosa wakukumbushia mabifu yenu sasa mnakuja kunitafuta sasa niacheni . Nimechoka na kama mtu anadai nawazibiia rizikii sijaja kuwafuata madanga yenu.

Msinichoshe si jf tu ndio mnaihangaikia . Mnahangaika na mimi tu. Sibadili ID . nanitabakia na ID YANGU NA MTAKEREKA SANA . NA ID MTABADILI MPAKA MWISHO WA dunia kwa upande wenu
Nicheki inbox, maana yako hairuhusu conversation
 
Jamani da mau kasema hana shida na madanga yenu, mkae kwa kutulia..!! 😂😂😂
Halafu wanaume mnaomsema da mau kumbe pembeni mnatamani kummiliki mumkome nitawachamba kwa niaba yake.!!

Da Mau brand kubwa jf hivyo tusingependa kuona mnataka kuishusha kwa wivu wenu 😜
 
Back
Top Bottom