habari zenu wakuu.
imenilazimu kuandika hii mada baada ya kuona na kupitia thread nyingi zinazohusiana au zenye vichwa vya habari kama' natafuta mpnzi,natafuta mwenzi,natafuta muhogo,nataka mchumba,natafuta company,.......nk.
Kweli ukifuatailia michango ilyo mingi ni kama vile muanzilishi anataka kuwachanga watu na kuchezea mind za watu kwa kuwa ukiangalia yeye mwenyewe anavyokuwa akirespond haonyeshi uhakiki wa hitaji lake.
mfano nilianzisha mada moja humu which was real serious lakini out of milions ya ladies ni wachache tu waliorespond na wengine hata nilivyokuwa kwenye PM walikimbilia kuuliza kabila hata kuna mmoja nilibaraza baada ya kusema kuwa hivi umesema wewe ni kabila fulani eti wewe umesema uko wapi na unafanya kazi kama nani....Totaly it was disappointing comments ambazo sikuzitegemea.
just swali tu JF ladies what are you real looking in relationship? kabila,Elimu,kipato location au cheo alichonacho na vyote anavyoviandika kwenye keyboard????
samahani kama nitakuwa nimewakwaza lakini hayo ndiyo mengi niliyoyaona nilipoakuwa nasoma mmu na love connect threads.
imenilazimu kuandika hii mada baada ya kuona na kupitia thread nyingi zinazohusiana au zenye vichwa vya habari kama' natafuta mpnzi,natafuta mwenzi,natafuta muhogo,nataka mchumba,natafuta company,.......nk.
Kweli ukifuatailia michango ilyo mingi ni kama vile muanzilishi anataka kuwachanga watu na kuchezea mind za watu kwa kuwa ukiangalia yeye mwenyewe anavyokuwa akirespond haonyeshi uhakiki wa hitaji lake.
mfano nilianzisha mada moja humu which was real serious lakini out of milions ya ladies ni wachache tu waliorespond na wengine hata nilivyokuwa kwenye PM walikimbilia kuuliza kabila hata kuna mmoja nilibaraza baada ya kusema kuwa hivi umesema wewe ni kabila fulani eti wewe umesema uko wapi na unafanya kazi kama nani....Totaly it was disappointing comments ambazo sikuzitegemea.
just swali tu JF ladies what are you real looking in relationship? kabila,Elimu,kipato location au cheo alichonacho na vyote anavyoviandika kwenye keyboard????
samahani kama nitakuwa nimewakwaza lakini hayo ndiyo mengi niliyoyaona nilipoakuwa nasoma mmu na love connect threads.