Wadada wa JF msaada wenu tafadhali, sijawahi pata PM hata moja..!

Aisee. Kwa muda huo mfupi tayari unayo orodha ndeeefuuu ya wadada kichwani.

Noma sanaaa
 
Kuna MTU anadai eti kuna vijana huku wamenigegeda wamemtumia na video.yaani nimeshindwa kumdifine. Hao vijana wa kwanza ni kichaa flani. Kumbe kuna watu humu ni vichaa kweli.
hahaaaa wanasema umekulwa !!?
 
well indeed
 
Mbona mimi nakuPM kila siku, acha uongo!
 
Sasa jitahidi ufike kilingeni Msata haraka ila kwenye hiyo list yako kuna mtu naomba umremove kwa sababu za wazi kabisa
Eti kajidai nakufupisha eti Demi hahaha utamgeuza jinsia tuone hata kama akifatwa pm atawafurahia
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] umenichekesha sana we mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…