Kiukweli siwezi kuweka avatar mbovu km mimi...
Nawewe umeweka ya mtu?Kiukweli siwezi kuweka avatar mbovu km mimi...
endelea kutafuta tafuta huenda ukampata anaefanania avatar yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Kesi ya kubaka sio. Ukatongoze katoto kanini sasaYa kwangu ni hiyo hiyo sasa unataka halisi ipi tena .....viumbe wazito nyie!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani mpaka ututongoze tuliopo humu jamani???? Mweeeeeeh humu muwe mnasoma na kupita kimyaaaa vinginevyo wewe na bebi wako mliko huko wote mjiunge humu mje kubebishana tumechoka malalamiko kila siku oooh Sijui nimekuta hana mguu mmoja ....Mara tako hana....Sijui ana machunusi tumechokaaaaaaaaaaaaa
Mh. Acha bas kuvuruga watu kuna wadau walikuomba mda flani u crop down hiyo avatar na uligoma sembuse uweke ka face hapo.Sawa tumekusikia mkuu tutalifanyia kazi ombi lako
Na ww unapendaje avatar bila kumjua muhusika
Sasa Njopino avatar sio yangu nitacrop vipi downMh. Acha bas kuvuruga watu kuna wadau walikuomba mda flani u crop down hiyo avatar na uligoma sembuse uweke ka face hapo.
Kumbe, ungewaweka wazi wadau sasa mana walikuwa na shauku ya kuona mkia.Sasa Njopino avatar sio yangu nitacrop vipi down
Avatar huwa maranyingi zinatakiwa kuendanaendana na uhalisia kwamfano wewe kwa Avatar yako mojakwamoja inanipelekea kuona unakamgongo flani hivi Wa kuvutiaSawa tumekusikia mkuu tutalifanyia kazi ombi lako
Na ww unapendaje avatar bila kumjua muhusika
Mwenye hiyo avatar wala mkia hana yupo na flatscreenKumbe, ungewaweka wazi wadau sasa mana walikuwa na shauku ya kuona mkia.
Kumbe kiuhalisia nipo kama sanamu la michellin acha tupambane na avatar za watu tu mkuu hakuna namna kama mkituona mkitukimbia mtukimbie tuAvatar huwa maranyingi zinatakiwa kuendanaendana na uhalisia kwamfano wewe kwa Avatar yako mojakwamoja inanipelekea kuona unakamgongo flani hivi Wa kuvutia
Sent using Jamii Forums mobile app
kama yako ina tamanishaWatu mna taabu humu ndani bwana, unataka uone nn kwa mfano, ww pambana na hizi hizi feki
Umetamani nini sasa hapo Mkuu