Wadada wa jf wekeni pichazenu halisi kwenye avatar zenu

Wadada wa jf wekeni pichazenu halisi kwenye avatar zenu

Kesi ya kubaka sio. Ukatongoze katoto kanini sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani mpaka ututongoze tuliopo humu jamani???? Mweeeeeeh humu muwe mnasoma na kupita kimyaaaa vinginevyo wewe na bebi wako mliko huko wote mjiunge humu mje kubebishana tumechoka malalamiko kila siku oooh Sijui nimekuta hana mguu mmoja ....Mara tako hana....Sijui ana machunusi tumechokaaaaaaaaaaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom