Wadada wa jf wekeni pichazenu halisi kwenye avatar zenu

Wanaume wanasaikolojia kali sana, mbona m hawanitongoz wakat avatar yangu inatia kwikwi.
Wamejuaje kama mi meeee

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Umenichekesha sana aiseee


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huko mtaani kila cku unakutana na walio halisi wamekushinda unakuja kutongoza humu kwenye avatar za uongo, sasa kati yao na ww nani tatizo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…