Wadada wa massage sio watu wazuri kabisa

Nadhani ni ushamba tu, mbona mimi ni mwendaji mzuri tu ila sijawahi kuwa na hizo temptations za hao viumbe?
 
Uzuri umeweka bayana umri wako, kibongo bongo wewe bado ni mtoto sana katika haya mambo na ndiyo maana ulishikwa sikio tu ukaanza kujikojolea na kujinyea, that shows your immaturity. Mwanamme anayejitambua hawezi hata siku moja kujinyea na kujikojolea kwa kushikwa sikio tu ama kuona chupi ya mwanamke. Anyways, bado unakuwa.
 
Nipe location niende leo
 
Nimecheka saana mkuu
 
Punguza hisia
 
Asante sanaa Kwa taarifa vijana wenzako wamekusikia sisi wenginee tusha jizeekea 45years kuendelea.....
 

Mkuu fanya mambo apa kwangu njoo pm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…