Wadada wa saluni za kiume hawana kinyaa kabisa

Nature yako wewe ni mchafu sana, unaonekana unafua boxer baada ya miezi mitatu
Sio uchafu tu,hata uanaume wake unachangamoto sana kutokana na mwandiko wake,nilivyoona neno wakaka limetumika nikajua huyu manzi mara ghafla jamaa eti anasema ye mwanaume,me najua mwamba kabsa huwez kumwita mwanaume mwenzako mkaka,ko huyu ndugu anaweza kuwa papai ama wanawake ndo company yake kubwa
 
Wakaka ndo kina nani? Saluni ya kiume kuwa na wahudumu wanaume na waoshaji wanawake.
Umeuliza swali zuri. Hapo aliposema "wakaka" kazingua. Wanaume hatuiti wanaume wengine wakaka.
 
Reactions: Tsh
Na wanaume hawaandikagi "ko" we dogo.
 
... kwa simulizi hii, umenikata 'steam' kabisa na hizo 'MASSAGE UCHWARA'!
... NIKITAKA KULA NGURUWE, SAFARI IJAYO, NITACHAGUA ALIYENONA KABISA, i.e NITACHUKUA DADA POA NIJIPAKI NAE SEHEMU HUKU NIKIJUA FIKA NAFANYA NINI! 😅
 
We utakuwa mchafu sana..!! Yaani unaenda na mafua yako saluni, unaenda na usaha wako saluni..!!
 
Wale wadada wadumu! Unaulizwa nikufanyie scrub ya chumvi? Swadaktaaa…scrub ya asali? Swadaktaaa…steaming? Swadaktaaa…manicure? Swadaktaaa…massage ya kichwa? Swadaktaaa…muda huo vidole na ulimi vinapita na kutoka masikioni bill ikija 80k…ukilipa bila kuwaza unalazimishwa ufatwe hotel ukafanyiwe full body massage, namba unapewa.
 
Huko chumbani wanakooshea vichwa huwa ni madangulo yaliyoboreshwa.Ukiona mtu anapenda kuoshwa kichwa kule chumbani na msichana baada ya kunyoa basi huyo ni mmoja ya watu wanaopenda unzinzi.mimi nasikiaga kinyaa haswa kuoshwa na wale wadad.huwezi amini naweza tapika.
 
Nilimkula mmoja nilienda kunyoa nikiwa na bulungutu la mkopo kutoka bank,wakati namlipa nilitoa bulungutu nikachomoa wekundu wawili nikachukua no kesho yake akanitafuta tukaenda kulana ,na niliishia kuuza nyumba kulipa mkopo bank
Duu makubwa haya, pole sana jamani! Ungemuoa tu ili zile changamoto za mkopo mkazipitia pamoja

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…