itakua sehemu nyingi wamekata nimeona sehemu wengine pia wanalalamika kuhusu tanesco
Mi nilidhani siku hizi wanaume mmeacha kuhonga pesa ndefu, kumbe bado wapo?Ukiona hivyo ujue Kuna kiungo cha mwili kinachakazwa hata kama sura ina ng'aa.
Hujui hata mimi nina mpango unitakatishie fedha, wait and see, nitakuelekeza aje...Wanawake na maendeleo acheni fitna love!
Jibu HOJA KWA POINT SIYO MAMBO YA KUTAMANI.Bila shaka unatamani nawe kuwa mwanamke.....
Ufungue duka, ukae na mashost zako, mle mnywe....
WE jacob unazingua Kithenge. πMum π happy Easter. Happy fools day π
Inaweza ikawa njia ya kutakatisha pesa
Nimewaza tu
Wee kumbe !!π€ π€ ππ fanya unielekeze huko kutakatisha fedha nione πHujui hata mimi nina mpango unitakatishie fedha, wait and see, nitakuelekeza aje...
Unataka kiliwe na Nyenyele siyo ?!
Nimejitoa copy kama litutumbweJibu HOJA KWA POINT SIYO MAMBO YA KUTAMANI.
OR LET ME ASK YOU.
UMEWEZAJE KUINGIA NDANI YA UBONGO WAKE UKAJUA KUWA ANA TAMANI ?!
Huko ndiyo wana ongoza kwa kuuza NYUMA. πMaduka ya Sinza na Kino
Mjini mipangoKuna jengo kubwa sana jipya pale sinza mall mkono wa kulia kama unaelekea mwenge biashara za pale uwa sielewi watu wanapataje faida make niliwai kushinda pale week mfullizo huoni wateja wakija kuchukua bidhaaa ghorofa ya pili na ya tatu ila watu daily wapo
Uliza Mkuu. Kuuliza siyo UJINGAKuna jengo kubwa sana jipya pale sinza mall mkono wa kulia kama unaelekea mwenge biashara za pale uwa sielewi watu wanapataje faida make niliwai kushinda pale week mfullizo huoni wateja wakija kuchukua bidhaaa ghorofa ya pili na ya tatu ila watu daily wapo
Roho mbaya sana hii, jikite kwenye hoja na sio kutumia Browning Machine Gun kumuua adui mwenye kisuBila shaka unatamani nawe kuwa mwanamke.....
Ufungue duka, ukae na mashost zako, mle mnywe....