Wadada wacheni hii tabia inakera sana wanaumee - Be real

Wadada wacheni hii tabia inakera sana wanaumee - Be real

Nduka Original

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2010
Posts
1,012
Reaction score
817
Kuna tabia wadada wanaweka picha kwenye profile zao ambazo siyo halisi. Yani unakuta kajipiga picha halafu anaifanyia manjonjo wewe una base kwenye picha hiyo lakini ukija kumuona ni vitu viwili tofauti. Unakuta mdada labda ulisoma nae sasa mmechat ukaona profile ukasema ngoja nirushe nyavu na wewe hujamuona muda. Sasa akija yani shape siyo yenyewe, uso sio wenyewe na hata rangi siyo yenyewe.

Ilisha ni cost like two months ago nili import mdada kutoka Dar na nikaji mwambafai kwa marafiki kwamba nina consignment nikachukua na hoteli ya bei ghali ila sasa alivyokuja seriously hata kumla siku mla aka kaa siku tatu nikamtoa akarudi zake Dar. Seriously wekeni picha zenu halisi kwenye face book, instagram, profile, status kama kukutaka nikutake kama ulivyo.

1625728854396.png

 
Biashara matangazo we mzee bila kujiweka freshi watu watashtuka, kimsingi wadada wanahangaika sana hasa we hujaona wengine wanavyojichubua uso mweupe miguu miesi yaani kama kanyani flani hivi yote hayo ni mahangaiko ya Dunia
 
Nawasifu wadada wa kisasa kwa kuwaendesha puta wavulana wa Kileo. Kila siku kulalamika ingawa uhalisia ni wadada ambao walitakiwa walalamike Kwani siku hizi wanaume ni viumbe adimu kulingana na takwimu za Umoja wa Mataifa. Endelea



11BB654F-55EF-44B0-8072-85CA08C7AA70.jpeg
 
Natamani nikufunze kitu ukikutana na hali kama hiyo ufanyaje, ulienda jando mtoa mada?
 
mvizie akiamka mpigie video call
asipopokea kimbia sana
kimbia mbali

Na hii ndio technique ninayo tumia mm,muda wote nampigia kwa video calls,akigoma kupokea kwa madai sijui yupo wapi sijui nn,nasepa jumla!
 
Back
Top Bottom