Kumbe umeliona hilo eeehh..Yaani karibia wanaume wote hapa mnataka kutuaminisha kuwa nyie ni weupe [emoji23][emoji23][emoji23]
Jamani Jf.......eti kasoro ubonge na macho makubwa
hhaha alivyotaja mweupe si picha yako ikanijia xtaper sema alipotaja bonge nikakutoa
Nmeona aseee, yaani ukianzia mwanzo wa comments hadi hapa tulipo karibia wote ni weupeπππKumbe umeliona hilo eeehh..
Nimejikuta nashangaa wote wamekuwa weupe
Nishukie wapi.Ndo maana nakuita tuonane
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nmeona aseee, yaani ukianzia mwanzo wa comments hadi hapa tulipo karibia wote ni weupe[emoji23][emoji23][emoji23]
KituoniiNishukie wapi.
Basi leo jiandae kuwa na mgeni.Kituonii
Kwa kweliππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Walipie matangazo yao
Natania banaaBasi leo jiandae kuwa na mgeni.
Mimi sijui kama ni utani,nipo njiani hivyo!Natania banaa
Innasawa dada wa mkubwa wa jf..ujumbe umefika
Hahaha ..!!Yaani karibia wanaume wote hapa mnataka kutuaminisha kuwa nyie ni weupe [emoji23][emoji23][emoji23]
Jamani Jf.......eti kasoro ubonge na macho makubwa
hhaha alivyotaja mweupe si picha yako ikanijia xtaper sema alipotaja bonge nikakutoa
SipoooMimi sijui kama ni utani,nipo njiani hivyo!
Mwezi mzima upo mtwaraππππSipooo
Niko Mtwaraa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwezi mzima upo mtwara[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aiseee πππ,acha nitafute nauli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimehamia hukuu
AbeeInna
Wewe vipi ulipita salama!Hhhaaa akisoma ashajijua siku hizi ana hasira na wanawake huyo kumbe mmeshamdangia