Wadada wamezidi kuomba pesa

,
Nilikua na kademu kalevi, muda wote hela ya pombe, nikakaacha nikapata church girl labda kuna unafuu, ohoo huyu ndio mtu wa marejesho daily...

Nimeona nitulie tu nilee wanangu.
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mtu anakuombaje hela mara mbili Kwa siku moja au ni uswaz sana na wote hamna kazi mnakuwa mmeshnda home
Labda kwa mazingira ya huyo mwamba huyu mimi naonana nae usiku pale naporud home nayeye namkuta tayari katoka job
 
🤣🤣🤣 nimecheka sana kwenye hizo meseji mwamba anaombwa buku mbili anamjibu bidada "wacha wee" jibu alilopewa sasa😅
 
Nilikua na kademu kalevi, muda wote hela ya pombe, nikakaacha nikapata church girl labda kuna unafuu, ohoo huyu ndio mtu wa marejesho daily...

Nimeona nitulie tu nilee wanangu.
acha bas unataka utimize kile kimsemo et !single father"!
Jichanganye uone hiyo elfu mbili ni ya kuzugia tu ili ujichanganye uombe mbususu halafu ushushiwe rundo la matatzo
akiomba aftatu maana yake anataka ujiongeze! Ukituma hyohyo mmh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…