Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha yenyewe yapo wapi ya kufanya upumbavu kama huoHakuna mkate mgumu mbele ya chai ,basi hao wengine watakuwa hawakati dau vizuri ,ukikata dau vizuri wala hauombi unapewa tu BUFEE na wewe ujisevie.
Daah..yani wananjaa mbaya wanakuwahi juu juu hata kabla ujaingiza vocal mi nikishasoma mchezo kama huo huwa nakimbiaKuna mmoja nilifahamiana nae kama wiki 3 zimepita. Baada ya siku 3 anataka 200k.
Yaani hata vocal sijapiga.
Aujaona kodi ya nyumba ishaanza kupiga hodi na bado kuna simu yake imeharibika kioo nishaambiwa ni 90kDaah mbona hata dada wa watu hana makuu? Afu mbili wakuu?
Kivp mkuuMbona chatting zenu hazieleweki?
Hivi nyie amjasoma hapo kodi ya nyumba ishawasha endiketa au akili zenu ni ndogo kiac ganiHadi Maji kaomba hapo tena kuuziwa Yan hana makuu kabisa
Mleta uzi sijui apewe Nini kingine,kapewq wa size ya buku 2 na ndoo ya Maji bado kamfungulia uzi hapa ,je akipewa wa laki 1 si atambandika matangazo mtaa mzima
Toa pesa usijitetee😅😅Hivi nyie amjasoma hapo kodi ya nyumba ishawasha endiketa au akili zenu ni ndogo kiac gani
Acha upuuzi wewe huyo manzi mi nakaa nae nyumba moja kodi yake ni 80k/mounth sasa piga miezi 6 ni bei gani mkuuMwanamke anakuomba buku mbili halafu anaomba umuuzie maji bila shaka ukikubali kumuuzia tegemea kuombwa hela ya kununulia hayo maji.
Sema mwamba unatufelisha sana,unaombwa buku mbili umekimbilia kufungua uzi? Halafu unawezakuta hiyo kodi yenyewe ni 10k
Hiyo buku mbili nilishampa bado kodi ni 80k kwa mwezi piga miezi 6 ni bei ganI halafu kuna cm tayari nishapewa mzigo wa kuitengeneza inatakiwa 90Mwanamke anakuomba buku mbili halafu anaomba umuuzie maji bila shaka ukikubali kumuuzia tegemea kuombwa hela ya kununulia hayo maji.
Sema mwamba unatufelisha sana,unaombwa buku mbili umekimbilia kufungua uzi? Halafu unawezakuta hiyo kodi yenyewe ni 10k
Wewe haujuiDaah mbona hata dada wa watu hana makuu? Afu mbili wakuu?
Kaka kuna kodi hapo 80k kwa mwezi na anataka miezi 6 bado cm yake imeharibika inatakiwa 90kAibu hii sasa.
Kuna vibomu vilivyopitiliza tuna vikataa but buku 2 na maji aaah
Aisee wana akili sana hawa viumbeHizo message za elfu mbili mbili hua wanacopy na kupaste tu unakuta ana namba 10 zikituma 8 ni elfu 16 anayo
Mwambie huyo mkuuMifuko minne ya cement hiyo tena ile nzuri na usafiri juu
Kasema ataki kuolewa anataka kuishi peke yakeMuwowe
Mkuu mwanajeshi hakimbii vitaDaah..yani wananjaa mbaya wanakuwahi juu juu hata kabla ujaingiza vocal mi nikishasoma mchezo kama huo huwa nakimbia
Haha thamanisha ikilipa jilipueKaka kuna kodi hapo 80k kwa mwezi na anataka miezi 6 bado cm yake imeharibika inatakiwa 90k
Ailipi mkuu🤣🤣Mny
Haha thamanisha ikilipa jilipue
Ukijifanya mwanajeshi kila mahali utaumiaMkuu mwanajeshi hakimbii vita