Wadada wamezidi kuomba pesa

Daah..kama unamjua mkuu huyu manzi ana tako kubwa balaaa
😂😂
Kumbe huyo dada ana tako kubwa balaaaaaa 😂😂. Wewe achana nae, piga puli mpaka pumbu zikauke. Naona Labda ugawe namba yake kwa wapenda tako kubwa waone jinsi ya kumpa hela baada ya kufaidi "tako kubwa balaaaaaaaaa" akina National Anthem Mzee wa kupambania na mzabzab 😂😂😂😂
 
Wambie waje pm halafu sifa yake nyingine ni tundevu twa kuzugia
 
Baada ya kumaliza chuo nikarudi kitaa , aisee slay queens wa kitaa sio watu kila naye mgusa ni vizinga kila muda mara kodi, mara sijala, mara na shida ya 5000 , mara nywele chafu siwezi kutoka out ivi labda unipe 10k nikasafishe nywele halafu kutoa mbususu wanakwepa kinoma😀😀aisee nimewakataa mademu kama wawili ivi ivi kwa sababu ya kuomba omba, sema kitaa slay queens wananjaa kisenge tofauti na ukiwaona jichanganye tongoza utajuta, mi uwa naenda direct sikuhizi namuuliza demu nimpe tsh 15k au 20k tulale hadi asubuhi basi , mademu sikuhizi wengi ni wauzaji sema ukiwa na akili ndogo hauwezi kujua
 
😂
Soko la wadada wenye tako kubwa balaaaaaa ni kubwa sana. Inakuwaje huyo ana tako kubwa na analialia njaa? Au msambwanda ni mkubwa balaa watu wanauogopa
Nahisi virungu vyake ni vyamoto ndio maana watu wanamuepuka just imagine mi kumzoea siku moja tu usiku wake akanipiga kirungu cha 100k na hapo hapo akaniambia kodi yake imeisha ile sijamjibu tu akadakia vp unaweza kunilipia sasa kwa mazingira hayo unahisi nani atakaa juzi katI kafanya birthday ya gharama kumbe kuna mwamba mmoja alidhamini pambano nilimuona siku ya tukio kaja na kigari chake siku hiz simuoni itakuwa alishalamba asali akasepa maana dem analia njaa kinoma na anafanya kazi na huyo dem kutoa mbususu ni mpaka akukamue kuanzia 100k bila hivyo uonji sasa namimi kutoa hiyo 100k ndio ngumu huwa ananiambia ntaishia kula kwa macho hivo hivo nikasema amna shida. Ila 100k sitoi
 
Hiyo ndio akili mkuu saiz ukijifanya mtoaji sana utaumia
 
Bado atarudi tu mkuu
Mkuu hujui muulze direct umuandalie Bei gan? Unapga unampa chake anakuwa kakuuzia usipende kuweka mahusiano ndo yanawaumiza Bora ulipe laki siku moja lakn ukitoka hapo hakuna sms za vibomu
 
Ckuiz ukijaribu tu kudate wanawake zaidi ya 2 Basi just umeisha, ma' ke hapo uneza jikuta unauza mpaka nguo zako ili umhudumie.
Hawa viumbe wameshashindikana.Ukipata piga na usepe mazima, usimruhusu akujengee mazoea
 
Teh teh teh teeeeh!! Hebu acheni uchoyo nyie viumbe loooh!! Sasa mnataka tuwaombe nini?

Cc Extrovert rais wa wanaume wachoyo.
Ckuiz ukijaribu tu kudate wanawake zaidi ya 2 Basi just umeisha, ma' ke hapo uneza jikuta unauza mpaka nguo zako ili umhudumie.
Hawa viumbe wameshashindikana.Ukipata piga na usepe mazima, usimruhusu akujengee mazoea
Umetisha mkuu hawa viumbe ni pasua sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…