Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #141
Kuna tatizo mahaliSijaolewa, nina 39 years old now.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna tatizo mahaliSijaolewa, nina 39 years old now.
Alafu vivuruge ndo waolewaji sasa kama hamjui...wale wengine wanafake balaa
Bado nakuchunguza kama una hizo sifa, ili nikuweke ndaniUstimotivate bwanaaa
Kama ni kiwanja sawa, ila kama umekuja kunitembelea unatakiwa uingie jikoni upike na si kuagiza takeawaySasa kitimoto na balimi ni kitu cha kumnyima mtu
Kuna wengine wazazi wamezeeka pamoja kwenye ndoa, ila mtoto akapigwa sumu ya mazingira akabadilikaMti Bora utoa matunda Bora mtazame mama yake yupoje
Uko sahihiUsioe mtu mwenye hasira chance ya kuachana ni kubwa
Anza harakati mapema, wanaozeeka singo huwa kuna changamoto wanapitiaTunapumzika tu
Kama hizo sifa nyingine anazo, umri ni namba tuMzee hiyo namba nyngn carbon 14 inasoma miaka ya wana wa Israel jangwani 🤣
hAwasumbui,tatzo tu ni huyo mwenye maneno sana ujuaji wakati mimi ndo kila kitu kwake kwasasa,ila huwa namuacha aongee maana najua huo ni aina ya upendo kama angekuwa hanipend bas asingekuwa anajisumbua na mimiWanakupa changamoto zipi?
Mimi naolewa ijumamosi hii nakuchukiaNagusa mle mle, mwaka huu lazima muolewe tu
Sina 😅😅😅😅Bado nakuchunguza kama una hizo sifa, ili nikuweke ndani
Unamchukiaje mme wa mtu mkuu 😀Mimi naolewa ijumamosi hii nakuchukia
Kuna wengine wanachosha mpaka unakuwa hutamani kurudi nyumbanihAwasumbui,tatzo tu ni huyo mwenye maneno sana ujuaji wakati mimi ndo kila kitu kwake kwasasa,ila huwa namuacha aongee maana najua huo ni aina ya upendo kama angekuwa hanipend bas asingekuwa anajisumbua na mimi
Hahaha [emoji2][emoji2],, sawa ngoja nitafute kiongozi [emoji23][emoji23]
Kuna kuolewa na kuna kuishi maisha ya ndoa; kama hizo sifa huna, na kwa bahati mbaya umeolewa, hiyo itakuwa ni ndoa ya kwenye makaratasi tu, ila kwa mme moyo utakuwa unatesekaAbee
Eti wa kuolewa waweje?
Me mbona siko hivyo ila jf imeshanipatia mume na danga vyote kwa pamoja ...kazi ni kujigawa tu mda gani wa danga na mda gani wa main road
Natumia vipimo vingi ili kujiridhishaSina 😅😅😅😅
Kwan amenioa nikapike?? Kupikiwa ni offer tu huwa tunatoa....Kuna kuolewa na kuna kuishi maisha ya ndoa; kama hizo sifa huna, na kwa bahati mbaya umeolewa, hiyo itakuwa ni ndoa ya kwenye makaratasi tu, ila kwa mme moyo utakuwa unateseka