Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Eti wadada wanapenda wanaume wa namna hii. Sisi wenye vifua kama chaga za kitanda hawatutaki, kisingizio eti hatuwezi kupambana na adui pale atakapotokea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tall,black and skinny ndo tunapendwa mkuuuuEti wadada wanapenda wanaume wa namna hii.
Sisi wenye vifua kama chaga za kitanda hawatutaki, kisingizio eti hatuwezi kupambana na adui pale atakapotokea.
View attachment 2547828
Itakuwa aina ya mazoezi wanayofanyaPhotoshop imehusika hakuna uhusiano kati ya vifua vyao na vichwa/shingo
Wenye [emoji383] wanaishia kupewa mabusu ma badboy sisi tunazikamua with no [emoji383] my nigga
Labda amedungwa sindano ya ng'ombeHuyo wa njano msuli umeota juu ya 👕
Du....
Yes na vilaza tupo nyie ma genius piteni hivi [emoji117]Huu uzi uta trend kwakuwa ni wakijinga
Ukiona mtu anakomalia kusema watu ni wajinga basi chunguza vizuri utanambia kama sio zezeta ni popoma mmoja anaekaa kwa shemeji yakeYes na vilaza tupo nyie ma genius piteni hivi [emoji117]
Uongo huoEti wadada wanapenda wanaume wa namna hii.
Sisi wenye vifua kama chaga za kitanda hawatutaki, kisingizio eti hatuwezi kupambana na adui pale atakapotokea.
View attachment 2547828
Badboy inapendeza ukiwa na mikwanja k za kuhurumiwa utaishia kula makombo. Acha pesa ikuletee maini vitu lainiiiiiWenye [emoji383] wanaishia kupewa mabusu ma badboy sisi tunazikamua with no [emoji383] my nigga
Acha kukariri mkuuuu
😂😂Huyo wa njano msuli umeota juu ya 👕
Du....
😂Huyo wa njano msuli umeota juu ya 👕
Du....
Jamaa anajikutaga sana kumbe ni fala tu mi namwacha na hayo maakili yake ya vitiniUkiona mtu anakomalia kusema watu ni wajinga basi chunguza vizuri utanambia kama sio zezeta ni popoma mmoja anaekaa kwa shemeji yake
Tupe ukweli sasaUongo huo