Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupe uzoefu, wengine huwa tunapigwa vibuti sanaKumbe
kumbe nini?Kumbe
Sielewi ndo nashangaakumbe nini?
funguka shem
Zikiisha na mahusiano yanaishaDawa ya mwanamke Ni pesa tu.
Yaan hujakosea oshey mr money,afu ndio ukute ana hela sasa 😜😜😜 haachwi mtu mpka kifo kiingilie kati 🏃🏃🏃
Mmhh siyo kwa miili hiyo,haina hata mvutoEti wadada wanapenda wanaume wa namna hii.
Sisi wenye vifua kama chaga za kitanda hawatutaki, kisingizio eti hatuwezi kupambana na adui pale atakapotokea.
View attachment 2547828
Pesa ikiisha na uhusiano unakufa au?Yaan hujakosea oshey mr money,afu ndio ukute ana hela sasa 😜😜😜 haachwi mtu mpka kifo kiingilie kati 🏃🏃🏃
😂😂😂🤣🤣🤣 HahaYaan hujakosea oshey mr money,afu ndio ukute ana hela sasa 😜😜😜 haachwi mtu mpka kifo kiingilie kati 🏃🏃🏃
Tupo tu tunaburudika na chatgpt hapa inanilewesha hii kitu asee 😒🤔🤔🤔 yaani ni kama robotVp weekend imeendaje huko
Oh sawasawa kwaiyo kesho job sio unaenda kukutana na boss 🤯🤯🤯🤯 atingishe ubongo kidogoAmna leo sikuwa na mudi ya chochote zaidi ya kuingia humu jf 😊
Hii ina ukweli mkuuuMe masela wenye vifua vikubwa hata hawanitishi...85% huwa wanakua mashoga na wanapumuliwa sana tu..
Kwanini hamna kitu?Masindano hayo hmna kitu hapo
Kabla nilizoom kufuatilia nikaona utoto umechukua nafasi !.Huyo wa njano msuli umeota juu ya 👕 Du....
Watakuja wadau hapa watakwambia TAFUTA HELA 🤓🤓🤓🤓Eti wadada wanapenda wanaume wa namna hii.
Sisi wenye vifua kama chaga za kitanda hawatutaki, kisingizio eti hatuwezi kupambana na adui pale atakapotokea.
View attachment 2547828
Hiyo si misuli iliyotokana na masaa mengi ya mazoezi , hawa watu huwa wanachoma aina fulani ya mafuta kwa jina "synthol" ambayo ni mabaya kwa mwili maana huganda na kusababisha mishipa kushindwa kusambaza damu ipasavyo kitu kitakachopelekea madhara kama muscle fibrosis , kuoza kwa misuli ndani kwa ndani (internal tissue necrosis) na mbaya zaidi ni kupoteza viungo .Eti wadada wanapenda wanaume wa namna hii.
Sisi wenye vifua kama chaga za kitanda hawatutaki, kisingizio eti hatuwezi kupambana na adui pale atakapotokea.
View attachment 2547828