Wadada wanapenda watu wa namna hii kwenye mahusiano

Me masela wenye vifua vikubwa hata hawanitishi...85% huwa wanakua mashoga na wanapumuliwa sana tu..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Me mwenyewe mbavu mbili alf nikawe na dude la hivo.
Na hiki kichwa panzi changu nijikute namjibu vby anipasue pua hapana aiseh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwili wa mazoezi kama Alykiba amejazia vizuri kweli na kiasii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…