agness s obedi
Member
- Nov 5, 2016
- 71
- 59
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ha haa kumbe comments zangu humu ndo unatumia kama proof ya jinsia yangu?
Hiyo haitoshi. Mie dume tena dume la haja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ha haa kumbe comments zangu humu ndo unatumia kama proof ya jinsia yangu?
Hiyo haitoshi. Mie dume tena dume la haja
Safi Malcom, habari ya weye?
Oooh!! Karibu tu unione maana nami natamani kukuona.Poa kabisa na mimi huwa natamani kukuona!
Oooh!! Karibu tu unione maana nami natamani kukuona.
Nawe pia mkuu.Basi tuombe uzima kwa Mungu naamini kuna siku tutaonana,
Nikutakie mwisho wa mwaka mwema!
Mmmmh!! Acha umbea sasaIlikuaje?
Tufungue uzi wetu tujiite madume wotee sawaaHa haa kumbe comments zangu humu ndo unatumia kama proof ya jinsia yangu?
Hiyo haitoshi. Mie dume tena dume la haja
Haya tufungue... TehTufungue uzi wetu tujiite madume wotee sawaa
Fungua sasa au mi ntawaita nnaowajua wajeHaya tufungue... Teh
Hivi hakuna aliyetaja kukujua?Fungua sasa au mi ntawaita nnaowajua waje
Wanaogopa kupelekwa giningi.Mnafanyafanyaje mpaka wanakubali muonane? Mi mbona hawataki[emoji30] [emoji30] [emoji31] [emoji31] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Hakuna hata wewe hujanitajaHivi hakuna aliyetaja kukujua?
Mi mvivu wa kufungua mwenzio ujueFungua sasa au mi ntawaita nnaowajua waje
Hivi hata Nyani Ngabu hajakutaja? Basi wa kuchapwa huyoHakuna hata wewe hujanitaja
kwani mi nakujua? i never talk to u...never see u.Hakuna hata wewe hujanitaja
pengine dume huyo...naona jina lako kwenye mwanzo wa uzi, wewe utakuwa sio dumeHivi hata Nyani Ngabu hajakutaja? Basi wa kuchapwa huyo
Unanikana wallahkwani mi nakujua? i never talk to u...never see u.
karibu lakini
Hajanitajaa hata yeyeHivi hata Nyani Ngabu hajakutaja? Basi wa kuchapwa huyo
nakukana wapi ww hufahamiani na member yoyote humu, na kuna sehemu unaandika kiume kabisa kwanini tusiwe na mashaka? hapo naona avatar nzuri, jina zuri navutiwa kuchat na ww kumbe dume, yafaa nini sasa [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Unanikana wallah
Hata yesu alikanwa sembuse mimi
Ha haa kiwa kaudanganya umapengine dume huyo...naona jina lako kwenye mwanzo wa uzi, wewe utakuwa sio dume