Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malcom huyu Dada yako ni
mkwe wangu
Heri ya mwaka mpya shem...ambae ni shost angu..
Happy New Year Shem!
hahahahah aisee, mimi mwanamke jamani ndio maana kweli niliweka uzi maana wengi walikuwa wanaingia inbox kuniulizia kuwa mimi ni jinsi ipi. Ahsante Castr kwa kunisaidia kuliweka waziCHIKIRA MTABARI asikose alianzisha hadi uzi.
[emoji15] [emoji15] [emoji15]nakukana wapi ww hufahamiani na member yoyote humu, na kuna sehemu unaandika kiume kabisa kwanini tusiwe na mashaka? hapo naona avatar nzuri, jina zuri navutiwa kuchat na ww kumbe dume, yafaa nini sasa [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Kweli mapenzi yana nguvu, ukasahau siasa kabisaaa.
Mie alikuwaga ananikosha lara 1 na mada zake na alivyokuwa anapangua comments, ndio alinivutia kujiunga humu.
Dah... Professeur... Yaani unauza zote bila kujibakishia mwenyewe ?? Nipm nikugawie ya "mvuto"[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kaka una bahati wewe mpaka naona wivu....mimi kila nikipangana nao wanaingia mitini kasoro mmoja tuu hapo
Narudi upya 2017 Heheheeee! Ngombe nishazeeka maini yote
Ushauri uliutoa wewe so nilijua utagundua tu bila taarifa, ila una akili wewe.
Hahaha kalikacha "kubwa lao"
[emoji8] [emoji8] [emoji8]Hata siku moja siwezi kukuchoka 🙂🙂🙂
Harufu ya nini?Nahisi harufu nzuri hapa...