Wadada/wanawake upo tayari kukaa bila ku test mitambo mpaka siku yenu ya ndoa?

Wadada/wanawake upo tayari kukaa bila ku test mitambo mpaka siku yenu ya ndoa?

Kwa sababu tayari umeshakubali kuwa ninyi wanaume hamuwezi kusubiri nikiona unataka kusubiri nitajiuliza UNAFICHA NINI???
Pia nitajiuliza mwanaume huyu katokea sayari gani??? Isijekuwa ni jini
( Samahani komenti imejiandika)

Wewe ndiye mwanamke halisi. Na huo ndiyo uhalisia wa wanawake.

Mwanaume akitaka mapema mnaleta maswali.

Mwanaume akitaka subira mnazua maswali pia
 
Back
Top Bottom