Kwa sababu tayari umeshakubali kuwa ninyi wanaume hamuwezi kusubiri nikiona unataka kusubiri nitajiuliza UNAFICHA NINI???
Pia nitajiuliza mwanaume huyu katokea sayari gani??? Isijekuwa ni jini
( Samahani komenti imejiandika)
Mmmh!!
Ndiyooo 😜
HakunaKuna tatizo?
Hakuna
Ndiyo nitaweza,
Ila Eeh' Mungu nisaidie kwani peke yangu siwezi.!
NdioHuwa unatestisha mitambo?
😂😂😂Rafiki wewe "ukipewa kila kitu" utataka na "kile kitu"
Hakiiii tenaApia
Kwa msaada wa selfie naweza kujaribu
Ndio
Hakiiii tena
SijuiUpo chaputa siyo?
Sijui
Rafiki wewe "ukipewa kila kitu" utataka na "kile kitu"
Wewe mkweli sana, kuwa imepita hiyo na huna haja kujisumbua kujibu kwani kizibo kimefunguliwa[emoji38]Ngoja waje.
But satisfaction brought it back!curiousity killed a cat
Inasemekana enzi zenu ilikua ni kupigwa mtama then unavutwa kichakani. Inasemekana!Ngoja waje.
Ooooh kumbe!Inasemekana enzi zenu ilikua ni kupigwa mtama then unavutwa kichakani. Inasemekana!