Wadada/wanawake upo tayari kukaa bila ku test mitambo mpaka siku yenu ya ndoa?

Kwa Wazinifu ni jambo gumu sana
 
Ivi wee unajua kusoma!! Nimekwambia alikua anakojoa kwa dk 1 tuu maana yake sikuwahi kupiz nikiwa nae. Sasa ulitaka nivumilie nn??
Narudia tena, K yako INA joto sana ndio maana anakojoa dakika 1. Ingekuwa ya baridi angekojoa baada ya nusu saa
 
Narudia tena, K yako INA joto sana ndio maana anakojoa dakika 1. Ingekuwa ya baridi angekojoa baada ya nusu saa
Ahaa nimeelewa but yule alikiri mwenyewe ana matatizo..ni push.ups kumi tuu kamaliza.
 
Sa hvi so wanaume tu hata sis wanawake tunaogopa kwanza kupata mtu wa hvo sasa hvi ni ngumu otherwise kuna kitu,sasa nan anataka kuolewa anakutna na mtu hana nguvu za kiume n bora ujue mapema ili kama unamvumilia uamue wewe kuliko kukutana na kitu kama hcho alafu upo kwenye commitment
 
Kwa wazinifu jambo la kujihifadhi hawawezi
Elewa hivyo
hauwezi kujibu swali kwa nafsi yako mpk uwaongelee wazinifu?

tuambie wewe kama wewe,assume dunia haina hao wazinifu Unaweza!
 
Unataka kusema wewe huwezi acha test mitambo si ndio kingunebe
 

huo ujinga kwangu nilashaonywa na wazee....kufanya sampling ni jambo la muhimu ..nisije kulaumu walimwengu.....

kutext mitambo ni muhimu sana hususani kwa dunia hii ya sasa....
 
Inawezekana.
Ujue unapokuwa mwenyewe huna hisia na muwasho hakuna. Ila ukiwa na mwenzako lazima utataka na kama mlishapeana ndo kabisa atataka mara kwa mara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…