Genius Man
JF-Expert Member
- Apr 7, 2024
- 1,012
- 2,317
Wadada wasiopenda hela na wenye akili za maisha na maendeleo hebu jitokezeni tuwaone?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wale wanaopenda hela alafu hawajui cha kuzifanyia unakuta hana muelekeosasa mtu atakua na akili za maisha na maendeleo alafu asipende hela😂
Umepevuka sana kiakili 🤝Kuna tofauti kubwa kati ya kukipenda kitu na kukihitaji.
Binafsi sipendi hela ila nazihitaji sana tu.
Ukikipenda kitu utafanya vyovyote, chochote, lolote ili ukipate.
Ila ukikihitaji utakuwa na subira na hautakuwa na papara. Utafuata utaratibu ili ukipate
😂😂😂😂 hichi nacho ni kichaka cha kujifichia.Kuna tofauti kubwa kati ya kukipenda kitu na kukihitaji.
Binafsi sipendi hela ila nazihitaji sana tu.
Ukikipenda kitu utafanya vyovyote, chochote, lolote ili ukipate.
Ila ukikihitaji utakuwa na subira na hautakuwa na papara. Utafuata utaratibu ili ukipate
Hongera sana,Kuna tofauti kubwa kati ya kukipenda kitu na kukihitaji.
Binafsi sipendi hela ila nazihitaji sana tu.
Ukikipenda kitu utafanya vyovyote, chochote, lolote ili ukipate.
Ila ukikihitaji utakuwa na subira na hautakuwa na papara. Utafuata utaratibu ili ukipate
Kupenda hela alivyomaanisha mtoa mada ni ile tabia ya wanawake kuitolea macho na kujipa haki ya kunufaika na pesa ya mwanaumeKuna tofauti kubwa kati ya kukipenda kitu na kukihitaji.
Binafsi sipendi hela ila nazihitaji sana tu.
Ukikipenda kitu utafanya vyovyote, chochote, lolote ili ukipate.
Ila ukikihitaji utakuwa na subira na hautakuwa na papara. Utafuata utaratibu ili ukipate
Lini twende kwenye grocery ya ndg yetu kinyerezi wewe... Mana ni MUDA Toka tumeenda show ya abracadabra ama Koffi olomidengoja na mi niwasubiri niwaone
Msiombe pesa 😂😂 atakuwa ana maana hiyoUnataka kutuambia nini?? Sema haraka hamna muda wa kupoteza rafiki.....unasemaje?
Sisi mbona hata muda wa kuomba pesa hatuna, huu ujumbe utakua hautuhusu....Msiombe pesa 😂😂 atakuwa ana maana hiyo
Pengine au anataka kuona mawazo yenu ktk hili jamboSisi mbona hata muda wa kuomba pesa hatuna, huu ujumbe utakua hautuhusu....
weekend ijayo twende mkuuuLini twende kwenye grocery ya ndg yetu kinyerezi wewe... Mana ni MUDA Toka tumeenda show ya abracadabra ama Koffi olomide
Ww🙌💀walipitiwa na Corona wooteee😹😹😹Hawa wanaotamba apa matapeli tu😂😂isipokuwa mm👍Wadada wasiopenda hela na wenye akili za maisha na maendeleo hebu jitokezeni tuwaone?
poapoaweekend ijayo twende mkuuu