Wadada wasiopenda hela na wenye akili za maisha na maendeleo hebu jitokezeni tuwaone

Wadada wasiopenda hela na wenye akili za maisha na maendeleo hebu jitokezeni tuwaone

Unataka kutuambia nini?? Sema haraka hamna muda wa kupoteza rafiki.....unasemaje?
ngoja na mi niwasubiri niwaone

😅😅😅😅 subiri watakuja
Screenshot_20240921-081122.jpg

Sijui ni deni...!!!!
Nishamwambia mimi kawaida yangu "Ukitaka financial item yangu"
1. Tunakubaliana kiasi = bargaining
2. Halafu unakuja gheto kuchukua
Hata kama ni vocha ya Buku INATOLEWA GHETO.

Sasa kakomaaa nimtumie.
Wakati mimi hizo huduma za 150......# huwa sizitumii kwa mademu.
Mademu ni kuwapatia watakacho wakiwa gheto, NB:- Watakacho tulichoelewana.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
View attachment 3101724
Sijui ni deni...!!!!
Nishamwambia mimi kawaida yangu "Ukitaka financial item yangu"
1. Tunakubaliana kiasi = bargaining
2. Halafu unakuja gheto kuchukua
Hata kama ni vocha ya Buku INATOLEWA GHETO.

Sasa kakomaaa nimtumie.
Wakati mimi hizo huduma za 150......# huwa sizitumii kwa mademu.
Mademu ni kuwapatia watakacho wakiwa gheto, NB:- Watakacho tulichoelewana.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
ilaaaaaaa😂😂😂

you will never walk alone
 
Back
Top Bottom