Wadada wasiopenda hela na wenye akili za maisha na maendeleo hebu jitokezeni tuwaone

Unataka kutuambia nini?? Sema haraka hamna muda wa kupoteza rafiki.....unasemaje?
ngoja na mi niwasubiri niwaone

πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… subiri watakuja

Sijui ni deni...!!!!
Nishamwambia mimi kawaida yangu "Ukitaka financial item yangu"
1. Tunakubaliana kiasi = bargaining
2. Halafu unakuja gheto kuchukua
Hata kama ni vocha ya Buku INATOLEWA GHETO.

Sasa kakomaaa nimtumie.
Wakati mimi hizo huduma za 150......# huwa sizitumii kwa mademu.
Mademu ni kuwapatia watakacho wakiwa gheto, NB:- Watakacho tulichoelewana.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
ilaaaaaaaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

you will never walk alone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…