Wadada wasomi ni wasumbufu alafu Wana mchango mdogo Sana kwenye mahusiano/ndoa

Wadada wasomi ni wasumbufu alafu Wana mchango mdogo Sana kwenye mahusiano/ndoa

Mkuu umeeleza vizuri sana vijana inabidi wachague.

Yaani Mama Msomi mwenye kazi anashinda kazini anarudi kachoka hoi bin taabani.

Sasa unataka akutandikie kitanda, akufurie nguo, akupikie chakula kizuri, afanye usafi wa ndani na mkae mezani mtazame Tv kwa mahaba huku kachoka?

Haiwezekani. Then baadae pesa yake nayo tena unataka mgawane?

Hapa utaishia kulalamika na kuona kuwa Mke ana dharau wala sio kweli.

**** wale wanauma wanaoa mwanamke Msomi wakitarajia kwamba watasaidiana majukumu ya nyumbani na uchumi.......huu ni uvivu wa kufikiri na ndio wanakuja na nyuzi za kutukana wanawake.

Mwanamke ni wa kuto*** tu na kukuzalia watoto na kupamba nyumba yako.

Makujumu mengine ni yako mwanaume.

Usipotambua hili lazima uje na Kauli ya KATAA NDOA.
Nakazia mkuu[emoji4]
 
Ukiona vyema bora usioe maana hamna vita rahisi, Ukioa haina tofauti na kuokoka yaani ni sawa na umetangaza vita na shetani hivyo huwezi ukategemea amani kila siku... Either wewe au mke au mtoto lazima kuwapo na changamoto kutoka kwa yoyote.... Ndo maana unashauriwa ukiamua kuoa basi uishi kwa akili sana maana unaweza kujikuta unafanya maamuzi ya kuua sisimizi kwa nyundo ukasua sakafu.
Umetoa meno zuri sana aisee pongezi kwako na pia niongezee hapo unamuoa mwanamke unaamua kumtafutia kazi ili msaidizane katika majukumu ya familia yenu unaweka mfanyakazi nyumbani ili na yeye apate unafuu wa kazi zake na za nyumbani lakini mwisho wa siku inakua kile alicho kipata yeye ni chake pekee yake ata ikitokea shida nyumbani kwao bado hatogusa chake utawajibika wewe kila kitu inakuwa haina maana mwanamke kujishughulisha na biashara bora uoe ukijua ni wa nyumbani basi kila kitu utasimamia kuliko kuja kutia stress na magonjwa yasiyo eleweka
 
Nakazia mkuu[emoji4]
Mkuu bado wanaume wa siku hizi hawajajua jinsi ya Kuchagua.

Huwezi kupata vyote.

Wale tuliochagua Mauno tuliamua kuchukua Jobless Mothers , kazi ya kutafuta hela nakutunza familia ni exclussively yetu.

Sisi tunafaidi mauno tu.

Sasa usitake mauno na Pesa kwa mkeo. Haipo hivyo.

Utalalamika tu mwanamke huyu, mara vile. Women knows everything about this
 
Back
Top Bottom