Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
Humu watu watapopoana ....
Yote ya yote.. Mwanamke inategemea unamuundaje..
Inatakiwa ktk kipindi cha uchumba ndio sehemu ya kufanyiana crafting vzr, pia Muangalie na aina ya Wanawake wa kuoa.
Kuna aina flani sitaitaja, haipaswi hata kuwa nae kiuchumba. Ni matatizo.
Oa Mwanamke anaeijua Dini na anaejua kupika. Mwanamke wa hivi hutakuja kulaumina na mtu mambo ya 50/50.
Yote ya yote.. Mwanamke inategemea unamuundaje..
Inatakiwa ktk kipindi cha uchumba ndio sehemu ya kufanyiana crafting vzr, pia Muangalie na aina ya Wanawake wa kuoa.
Kuna aina flani sitaitaja, haipaswi hata kuwa nae kiuchumba. Ni matatizo.
Oa Mwanamke anaeijua Dini na anaejua kupika. Mwanamke wa hivi hutakuja kulaumina na mtu mambo ya 50/50.