DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Ukiona unateswa na mapenzi au ndoa Fahamu tu umependa mwenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijaelewa Mkuu.... Tuchambulie zaidi🧐😅Mkuu,
Kuna wajinga 2 dunia hii:
1. Mjinga asie na elimu
2. Mjinga mwenye elimu.
Huyu mjinga mwenye elimu,ni mbaya mno. Ubaya wake huna kifani.
Mi nimemaliza,hope umeelewa
SI KWELIUnapoa mwanamke mfanyakazi lazima ujue mko sawa. Tofauti yenu ni kitandani tu kwamba mwingine ana tundu na mwingine ana fimbo. Lakini kwenye aspects zingine zote mtakuwa sawa.
SI KWELIMtafua nguo kwa zamu au kwa kushirikiana, mtanya usafi kwa zamu au kwa kushirikiana, mtapika kwa zamu au kwa kushirikiana etc.
Wewe ndio stupidSasa wewe umeoa mwanamke mfanyakazi halafu unarudi nyimbani unataka akuandalie chakula, akuwekee maji ya kuoga...you are stupid
NAKAZIAAkishindwa kutofautisha usomi na majukumu yake kama mwanamke huyo bado ni mjinga
Hakika mkuuMwanamke kama kwao alikuwa anafanya kazi za nyumbani kupika kufua kusafisha nyumba, huyo mwanamke ata akija kuolewa na kupata kazi lazima ataendelea kuzifanya kazi za nyumba, Wanawake kama hao wanaitwa majembe, kwanza bila kufua wao wenye nguo wanaona nguo hazija fuliwa, Kwa kifupi mwanamke aliye zoea kufanya kazi za nyumbani huwezi kuvumilia kuona mambo yapo hovyo nyumbani lazima ataingilia kuzifanya mwenyewe, Ukiona umeoa mke na na Nyumba ipo hovyo kaa mambo ya hovyo kutokana kwao, ukiona mwanamke msafi wa Nyumba huo usafi katoka nao kwao.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Teh teh teh teh teh ni kwamba, mtu alie na elimu,akitenda maovu anakua amedhamilia kwa sababu anakuwa na uelewa mkubwa. Sasa huyu akikosea hakubali kosa,ni mjanja,hayuko tayali kuelekezwa,na ni mbishi hatari.Sijaelewa Mkuu.... Tuchambulie zaidi🧐😅
Hiki kizazi cha mabinti waliosoma boarding na kulelewa na mahouse girl wengi hawajui usafi na kupika.Mwanamke kama kwao alikuwa anafanya kazi za nyumbani kupika kufua kusafisha nyumba, huyo mwanamke ata akija kuolewa na kupata kazi lazima ataendelea kuzifanya kazi za nyumba, Wanawake kama hao wanaitwa majembe, kwanza bila kufua wao wenye nguo wanaona nguo hazija fuliwa, Kwa kifupi mwanamke aliye zoea kufanya kazi za nyumbani huwezi kuvumilia kuona mambo yapo hovyo nyumbani lazima ataingilia kuzifanya mwenyewe, Ukiona umeoa mke na na Nyumba ipo hovyo kaa ukijua mambo ya hovyo kutokana kwao, ukiona mwanamke msafi wa Nyumba huo usafi katoka nao kwao.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Uliyoyasema ni sahihi isipokuwa kifungu hiki:Tatizo lenu vijana ni kuoa bila kujua malengo na mataraijo ya mwenzio kwenye ndoa. Mnafanya ndoa kama "default setting" sasa mwenzio anapo taka ku customise settings unaona umeyeyushwa.
Kuna tofauti kati ya kuoa mama wa nyumbani na kuoa mwanamke ambaye wote mnadamka kwenda kazini asubuhi na kurudi jioni au usiku.
Sasa wewe unataka uoe mwanamke mfanyakazi halafu akufanyie mambo kama mama wa nyumbani. Hiyo haiwezekani.
Unapoa mwanamke mfanyakazi lazima ujue mke sawa. Tofauti yenu ni kitandani tu kwamba mwingine ana tundu na mwingine ana fimbo. Lakini kwenye aspects zingine zote mtakuwa sawa.
Mtafua nguo kwa zamu au kwa kushirikiana, mtanya usafi kwa zamu au kwa kushirikiana, mtapika kwa zamu au kwa kushirikiana etc.
Sasa wewe umeoa mwanamke mfanyakazi halafu unarudi nyimbani unataka akuandalie chakula, akuwekee maji ya kuoga...you are stupid.
Hiyo big no!Kama tutashirikiana majukumu uliyoyataja kwanini hatushirikiani majukumu ya Maendeleo(financial decisions). Yaani mshahara wake haununui hata chumvi lakini anataka usawa..?!
Basi utakuwa umeoa mume mwenzio.Sasa wewe umeoa mwanamke mfanyakazi halafu unarudi nyimbani unataka akuandalie chakula, akuwekee maji ya kuoga...you are stupid.
Wanaume wanazidi kupotea kwa kasi sanaYaani Mama Msomi mwenye kazi anashinda kazini anarudi kachoka hoi bin taabani.
Sasa unataka akutandikie kitanda, akufurie nguo, akupikie chakula kizuri, afanye usafi wa ndani
Zubeda is loading...!Kuoa ni sawa na kutoa sadaka. Unachukua jukumu la kulea jitu lenye meno 32 huku likikupa stress na dharau za kipumbavu.
Kwa upande wangu, Ni wakati Sasa wa kuwajaribu wale wa vijijini na wasio wasomi. Nina nia ya kuanzisha mahusiano yenye hatima ya kuoana lakini bado Kuna Tatizo kwa wasomi wajinga
Ni kweli msomi na wewe uko km asemavyo mleta mada?Sijui kapatwa na nini maskini😀😀
Mwanaume unapata wapi muda wa kufanya hizo kazi za ndani?Mtafua nguo kwa zamu au kwa kushirikiana, mtanya usafi kwa zamu au kwa kushirikiana, mtapika kwa zamu au kwa kushirikiana etc.