Wadada wasomi ni wasumbufu alafu Wana mchango mdogo Sana kwenye mahusiano/ndoa

Nakazia mkuu[emoji4]
 
Umetoa meno zuri sana aisee pongezi kwako na pia niongezee hapo unamuoa mwanamke unaamua kumtafutia kazi ili msaidizane katika majukumu ya familia yenu unaweka mfanyakazi nyumbani ili na yeye apate unafuu wa kazi zake na za nyumbani lakini mwisho wa siku inakua kile alicho kipata yeye ni chake pekee yake ata ikitokea shida nyumbani kwao bado hatogusa chake utawajibika wewe kila kitu inakuwa haina maana mwanamke kujishughulisha na biashara bora uoe ukijua ni wa nyumbani basi kila kitu utasimamia kuliko kuja kutia stress na magonjwa yasiyo eleweka
 
Nakazia mkuu[emoji4]
Mkuu bado wanaume wa siku hizi hawajajua jinsi ya Kuchagua.

Huwezi kupata vyote.

Wale tuliochagua Mauno tuliamua kuchukua Jobless Mothers , kazi ya kutafuta hela nakutunza familia ni exclussively yetu.

Sisi tunafaidi mauno tu.

Sasa usitake mauno na Pesa kwa mkeo. Haipo hivyo.

Utalalamika tu mwanamke huyu, mara vile. Women knows everything about this
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…