Hahaha za vunja sio?Jinsi OG kibongo bongo sijui kwakweli, wenyewe tunavaa tu hizi za Fred.
Na misomali au sioWenye nyama tuendelee kuvaa vijora....
Kabisa dada....Na misomali au sio
Kula kvant ukate mafuta,mazoezi mbwembwe tuWenye nyama tuendelee kuvaa vijora....
Hahfa vinaitwa leggings zinakua na butt/ ass scrunch.. yaani uzi umeseparate L &R butt..Naona wengi zinawapendeza
Afadhali wengi wavae hivyo ili kutupunguzia ajali za kugeuza shingo kuwaangalia, maana zile skin jeans zao hata akiwa mwembamba unaweza kugeuza shingo kuangalia yaliyomo yamo π
Pombe inaleta njaa hiyo, na njaa yake unaweza kutafuna godoro.....Kula kvant ukate mafuta,mazoezi mbwembwe tu
Sie wamene tupitwe na fasheni tu kwakweli wacha tuendelee madila yetu!