DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 12,846
- 28,106
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe una hips za kufa mtu sweetheart...Sie wamene wacha tupitwe na fasheni tu kwakweli tuendelee madila yetu!
Wembamba wamenougaa balaa!🔥🔥🔥🔥😍
Nitakupigia baadae kuna kitu nafanya hapa.....
Wee sema kweli lo???!!Wewe una hips za kufa mtu sweetheart...
Au niruhusu ninunulie mtu hahaha...Wee sema kweli lo???!!
Hao matukunyema hio fashooo hapana kwakweli!
Vimodo vimetokelezeiyaaaa kinoumaaa!
Wadada, wembamba!
Tena Nakuchagulia staring jike mwenyeweeeee hapaa! Awe mzuri mzuri mtamu anaevutiaa sio vile vinyau viso na mbele wala nyuma 😏😕😁😁🤭🤭Au niruhusu ninunulie mtu hahaha...
Uzi ufungweeWenye nyama tuendelee kuvaa vijora....
Kuna Siku ilibaki kidogo niingize gari mtaroni Kwa kugeuza shingo kuangalia yaliyomo 🙌Hahfa vinaitwa leggings zinakua na butt/ ass scrunch.. yaani uzi umeseparate L &R butt..
View attachment 3102305
Yaani ata mtu awe Zuchu ataonekana Posh.
Kuna hii njia ya Survey kuja UDSM kutokea geti maji na kutembea service road ya kuja Magufuli hostel.Kuna Siku ilibaki kidogo niingize gari mtaroni Kwa kugeuza shingo kuangalia yaliyomo 🙌
Naunga mkono hoja yako kuhusu hilo vazi la Bwanga 😜
Ila kweli huwa tunapitia wakati mgumu sana.....kuna siku pia almanusraa niuvae mtaro aseee alipita mdada anafanya zoezi anakimbia barabarani, ile shape ilibidi nibaki kushangaa.Kuna Siku ilibaki kidogo niingize gari mtaroni Kwa kugeuza shingo kuangalia yaliyomo 🙌
Naunga mkono hoja yako kuhusu hilo vazi la Bwanga 😜
Upo wapi kwani?😂Wenye nyama tuendelee kuvaa vijora....
Nanyoosha kijora nkaangalie pira letu wananchi.....ntakupigiaUpo wapi kwani?😂
Umeanza lini hayo mambo Mjukuu 😜Ila kweli huwa tunapitia wakati mgumu sana.....kuna siku pia almanusraa niuvae mtaro aseee alipita mdada anafanya zoezi anakimbia barabarani, ile shape ilibidi nibaki kushangaa.
Wanaume tunapitia mambo magumu sana.
Bantu Lady
😹😹Nanyoosha kijora nkaangalie pira letu wananchi.....ntakupigia
Hatari sana Mkuu 🙌Kuna hii njia ya Survey kuja UDSM kutokea geti maji na kutembea service road ya kuja Magufuli hostel.
Utakuta wanafanya mazoezi wenyewe. Aisee.