RealixT
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 1,547
- 2,751
Kausha wew hp unaharibu sasaTukisema waache kumeza manii hawasikii......Sina msaada nao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kausha wew hp unaharibu sasaTukisema waache kumeza manii hawasikii......Sina msaada nao
Endelea kukomaa mkuu, unajua huyu mtoto ni mzuri kajielezea mwenyewe kupitia uzi wake🤣N'na refresh page mara tano tano lakini bado, sijui ni hila za moderators maana Leejay49 hawezi kuwa na moyo wa Yuda😂😂😂
Tatizo wadada wengi ni wabishi, ukimwambia punguza kitambi nakujibu kwa nyodo "achana na kitambi changu!"Na nyie wakaka muwashawishi wapenzi wenu wafanye mazoezi bhana.
Nimeanza kum-follow nasubiri milango ya baraka ifunguke..😂Hahaha nimekuachia mkuu, msg zinaenda kweli?
Safi kabisaNimeanza kum-follow nasubiri milango ya baraka ifunguke..😂
Manii husababisha kitambi?Tukisema waache kumeza manii hawasikii......Sina msaada nao
Safi kabisa
Ahaaa chagua moja tumbo flat au tako?😅We mwana wee, temea mate chini.....tulikuwa Kama wewe wenzio, sasa hivi tuna vitambi vinakata Kona, halafu usiambiwe havisikii mazoezi wala dawa za kuharisha🤣
Ukitaka kukimaliza labda ukonde, na ukikonda dako linaisha🤣🤣🤣 Sasa niondoe taako kisa tumbo....thubutuuu🤣
Habari za jioni wanajamvi
Niende kwenye mada moja kwa moja. Hivi wadada wenzangu hua mmnaajiskiaje [emoji848][emoji848].
Yaani hakuna kitu kinakikera kama kumuona mdada mwembamba akiwa na kitambi, yani utakuta mdada ni mzuri mrembo safi ila akitembea katumbo kanatangulia mbele[emoji855][emoji855].. Hua najiuliza wanakulaga nini au ni uvivu tu hata wa kufanya mazoezi.
Asa sikia, kama ni mdada, mrembo mzuri halafu una kitambi, fanya mazoezi ya kupunguza tumbo hata mara moja kwa siku. Wengine mtasema hamna hela za kulipia Jim sawa naelewa, ila kuna Applications nyingi sana za mazoezi unaweza ukaingia playstore ukadownload ukaanza mazoezi yako mdogomdogo..
Na nyie wakaka muwashawishi wapenzi wenu wafanye mazoezi bhana.
Mimi nikionaga couple mkaka upo na mdada mwembamba ana kitambi sijui hua nawaonaje yani[emoji3166]
Nimemaliza....
Nataka kumfungulia Leejay49 uzi ila moyo unasita 😂😂😂Ahaaa chagua moja tumbo flat au tako?😅
Mkuu changamka chap haya maisha hutakiwi kujiuliza labda leo ndio bahati yako mkuuNataka kumfungulia Leejay49 uzi ila moyo unasita 😂😂😂
Umemaliza mkuu vidonda vya tumbo ni habari nyingine.Vipo mchanganyiko mblmbl kuna vya bia, michemsho, chips, mimba na vingine ni vya asili!![emoji1][emoji1]
Isitoshe watanganyika wengi hawana utamaduni wa mazoezi [emoji15]
Heri kitambi kuliko vidonda vya tumbo
Kwa kweli Mimi nimechagua tako🤣 Muhimu kitambi hakiniumi wala hakiniwashi acha kibaki tu🤣Ahaaa chagua moja tumbo flat au tako?😅
Daah basi utakua unatako sana wewe, i wish nikuone😊Kwa kweli Mimi nimechagua tako🤣 Muhimu kitambi hakiniumi wala hakiniwashi acha kibaki tu🤣
Tobaaaa🤣🤣🤣Daah basi utakua unatako sana wewe, i wish nikuone😊
According to you ni kukachiii ila binafsi nimeshangaaAmetoa mtazamo tu, mbona na wewe ume-catch kwa haraka sana?