mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
nimeona wivu😥Missing you more babe😍
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimeona wivu😥Missing you more babe😍
😂 pole aisee, kwanini sasa?nimeona wivu😥
nakutaka wewe😥😂 pole aisee, kwanini sasa?
Niko na huzuni leo😩nakutaka wewe😥
Waache kula wanga na sukari,mazoezi pekee hayatasaidiaHabari za jioni wanajamvi
Niende kwenye mada moja kwa moja. Hivi wadada wenzangu hua mmnaajiskiaje [emoji848][emoji848].
Yaani hakuna kitu kinanikera kama kumuona mdada mwembamba akiwa na kitambi, yani utakuta mdada ni mzuri mrembo safi ila akitembea katumbo kanatangulia mbele[emoji855][emoji855].. Hua najiuliza wanakulaga nini au ni uvivu tu hata wa kufanya mazoezi.
Asa sikia, kama ni mdada, mrembo mzuri halafu una kitambi, fanya mazoezi ya kupunguza tumbo hata mara moja kwa siku. Wengine mtasema hamna hela za kulipia gym sawa naelewa, ila kuna Applications nyingi sana za mazoezi unaweza ukaingia playstore ukadownload ukaanza mazoezi yako mdogomdogo..
Na nyie wakaka muwashawishi wapenzi wenu wafanye mazoezi bhana.
Mimi nikionaga couple mkaka upo na mdada mwembamba ana kitambi sijui hua nawaonaje yani[emoji3166]
Nimemaliza....
nini shida mamaNiko na huzuni leo😩
Acha tu, tutaongea.nini shida mama
labda unipm kule kf....Acha tu, tutaongea.
Picha iko wapiHabari za jioni wanajamvi
Niende kwenye mada moja kwa moja. Hivi wadada wenzangu hua mmnaajiskiaje 🤔🤔.
Yaani hakuna kitu kinanikera kama kumuona mdada mwembamba akiwa na kitambi, yani utakuta mdada ni mzuri mrembo safi ila akitembea katumbo kanatangulia mbele🤒🤒.. Hua najiuliza wanakulaga nini au ni uvivu tu hata wa kufanya mazoezi.
Asa sikia, kama ni mdada, mrembo mzuri halafu una kitambi, fanya mazoezi ya kupunguza tumbo hata mara moja kwa siku. Wengine mtasema hamna hela za kulipia gym sawa naelewa, ila kuna Applications nyingi sana za mazoezi unaweza ukaingia playstore ukadownload ukaanza mazoezi yako mdogomdogo..
Na nyie wakaka muwashawishi wapenzi wenu wafanye mazoezi bhana.
Mimi nikionaga couple mkaka upo na mdada mwembamba ana kitambi sijui hua nawaonaje yani🧐
Nimemaliza....
Yaani hakuna kitu kinanikera kama kumuona mdada mwembamba akiwa na kitambi, yani utakuta mdada ni mzuri mrembo safi ila akitembea katumbo kanatangulia mbele🤒🤒.. Hua najiuliza wanakulaga nini au ni uvivu tu hata wa kufanya mazoezi.
Homewapi ioo?
[emoji849]Tukisema waache kumeza manii hawasikii......Sina msaada nao
Sikuonaga hii comment, umenena vyema sana mkuu1.madawa ya kuzuia mimba (contraceptives),,, unakuta mtu anatumia emergency pills as birth controll kwa nn mtumbo wake usijae??
2.ulaji wa hovyo,,mnapenda kubugia chips mayai+mapombe bila mpangilio
3.Uvivu na lifestyle at general,,, unakuta umbali kdogo tu hawez kutembea anaita boda. Kuna office nlikuepo asee wanawake wote ile office wana vitambi kwanzia manager mpaka teller. Just assume asbuh anakuja kazn na gari, anakunywa chai, mchana chips, jion anapanda gari kurud home,.,...... Yaan mwili unakuwa totally idle!!!
Ila wanawake wenye vitambi wana appearance ya ajabu jaman yaani kitumbo mbele kama kichura fulan hv!!!!! Very boring
Sent using Jamii Forums mobile app
Utaambiwa unawasimangautakuta mdada ni mzuri mrembo safi ila akitembea katumbo kanatangulia mbele🤒🤒