Wadada wembamba vitambi mnavitoa wapi?

Wadada wembamba vitambi mnavitoa wapi?

Habari za jioni wanajamvi

Niende kwenye mada moja kwa moja. Hivi wadada wenzangu hua mmnaajiskiaje [emoji848][emoji848].

Yaani hakuna kitu kinanikera kama kumuona mdada mwembamba akiwa na kitambi, yani utakuta mdada ni mzuri mrembo safi ila akitembea katumbo kanatangulia mbele[emoji855][emoji855].. Hua najiuliza wanakulaga nini au ni uvivu tu hata wa kufanya mazoezi.

Asa sikia, kama ni mdada, mrembo mzuri halafu una kitambi, fanya mazoezi ya kupunguza tumbo hata mara moja kwa siku. Wengine mtasema hamna hela za kulipia gym sawa naelewa, ila kuna Applications nyingi sana za mazoezi unaweza ukaingia playstore ukadownload ukaanza mazoezi yako mdogomdogo..

Na nyie wakaka muwashawishi wapenzi wenu wafanye mazoezi bhana.

Mimi nikionaga couple mkaka upo na mdada mwembamba ana kitambi sijui hua nawaonaje yani[emoji3166]

Nimemaliza....
Waache kula wanga na sukari,mazoezi pekee hayatasaidia
 
Habari za jioni wanajamvi

Niende kwenye mada moja kwa moja. Hivi wadada wenzangu hua mmnaajiskiaje 🤔🤔.

Yaani hakuna kitu kinanikera kama kumuona mdada mwembamba akiwa na kitambi, yani utakuta mdada ni mzuri mrembo safi ila akitembea katumbo kanatangulia mbele🤒🤒.. Hua najiuliza wanakulaga nini au ni uvivu tu hata wa kufanya mazoezi.

Asa sikia, kama ni mdada, mrembo mzuri halafu una kitambi, fanya mazoezi ya kupunguza tumbo hata mara moja kwa siku. Wengine mtasema hamna hela za kulipia gym sawa naelewa, ila kuna Applications nyingi sana za mazoezi unaweza ukaingia playstore ukadownload ukaanza mazoezi yako mdogomdogo..

Na nyie wakaka muwashawishi wapenzi wenu wafanye mazoezi bhana.

Mimi nikionaga couple mkaka upo na mdada mwembamba ana kitambi sijui hua nawaonaje yani🧐

Nimemaliza....
Picha iko wapi
 
1.madawa ya kuzuia mimba (contraceptives),,, unakuta mtu anatumia emergency pills as birth controll kwa nn mtumbo wake usijae??

2.ulaji wa hovyo,,mnapenda kubugia chips mayai+mapombe bila mpangilio

3.Uvivu na lifestyle at general,,, unakuta umbali kdogo tu hawez kutembea anaita boda. Kuna office nlikuepo asee wanawake wote ile office wana vitambi kwanzia manager mpaka teller. Just assume asbuh anakuja kazn na gari, anakunywa chai, mchana chips, jion anapanda gari kurud home,.,...... Yaan mwili unakuwa totally idle!!!

Ila wanawake wenye vitambi wana appearance ya ajabu jaman yaani kitumbo mbele kama kichura fulan hv!!!!! Very boring

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani hakuna kitu kinanikera kama kumuona mdada mwembamba akiwa na kitambi, yani utakuta mdada ni mzuri mrembo safi ila akitembea katumbo kanatangulia mbele🤒🤒.. Hua najiuliza wanakulaga nini au ni uvivu tu hata wa kufanya mazoezi.

Wewe uliye na komwe kwani umelitoa wapi?
 
1.madawa ya kuzuia mimba (contraceptives),,, unakuta mtu anatumia emergency pills as birth controll kwa nn mtumbo wake usijae??

2.ulaji wa hovyo,,mnapenda kubugia chips mayai+mapombe bila mpangilio

3.Uvivu na lifestyle at general,,, unakuta umbali kdogo tu hawez kutembea anaita boda. Kuna office nlikuepo asee wanawake wote ile office wana vitambi kwanzia manager mpaka teller. Just assume asbuh anakuja kazn na gari, anakunywa chai, mchana chips, jion anapanda gari kurud home,.,...... Yaan mwili unakuwa totally idle!!!

Ila wanawake wenye vitambi wana appearance ya ajabu jaman yaani kitumbo mbele kama kichura fulan hv!!!!! Very boring

Sent using Jamii Forums mobile app
Sikuonaga hii comment, umenena vyema sana mkuu
 
Back
Top Bottom