Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Tunateseka sana wanaume unakuta mdada anatembea harakaharaka huku anakatika makusudi kabisa hii sio sawa.
Tembeeni kwa wastani msinyumbulike sana, yani kule sio kutembea ni kukatika kiuno makusudi.
Kama hamuamini wakulungwa kaeni kwenye malls au restaurants zilizopo pembeni ya barabara. Utakuta mdada kaning'iniza ki hand bag begani huo mwendo Sasa daaaaaaah.
Pepo walahi sio ya mkulungwa.
Tembeeni kwa wastani msinyumbulike sana, yani kule sio kutembea ni kukatika kiuno makusudi.
Kama hamuamini wakulungwa kaeni kwenye malls au restaurants zilizopo pembeni ya barabara. Utakuta mdada kaning'iniza ki hand bag begani huo mwendo Sasa daaaaaaah.
Pepo walahi sio ya mkulungwa.