Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Daah wale wa crdb wana sifa wale ukute Toto linachura [emoji3] jeupee
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kua unaenda kila siku kufuatilia mkopo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah we acha tu halafu ukataka uhudumiwe na nawe[emoji3] hapo unaachaje kuomba namba na Yale mashati yao kifua kimesimama sjui ndo siridia wanazovaa zinayapiga jeki kiaina
Sent using Jamii Forums mobile app
Jeki lilee...ila ukikuta yamejaa jaa yanatia hamasa sana, yale mashati wanayavaa kichokozi mnooo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwene au sioAnavaa nguo fupi sana akijua hana shughuli nyingi za kumuweka nje anajua point zake ni zipi akishuka mara moja anarudi kwene guta yake, tofauti na kwene daladala lazima ujiulize utakaaje na unatumia public transport? Ila mtu yuko ndani ya gari na pengine amepiga tinted we unawaonaje au umesimliwa, haingii akilini acha umbea
Hahaha mm nawaonaga sana tu ila kwangu ni fureshi,unakuta kadada kapo kwenye ist kameachia mapaja meupe nje ni mwendo wa kula chabo tuAnavaa nguo fupi sana akijua hana shughuli nyingi za kumuweka nje anajua point zake ni zipi akishuka mara moja anarudi kwene guta yake, tofauti na kwene daladala lazima ujiulize utakaaje na unatumia public transport? Ila mtu yuko ndani ya gari na pengine amepiga tinted we unawaonaje au umesimliwa, haingii akilini acha umbea
Uko uko kwene.....Kwene au sio
Teh, upepo unatoka wapi kwenye gari?.Upepo unapitaa tuuh unapuliza tu pwaah[emoji3] bora nikingekua upepo sometimes ukiwa human being kuna vitu unavikosa vya kibaharia vya msingi
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiniambie unasafisha vioo vya magari, haya sasa gari yake, kimini chake, paja lake, we inakuhusu nnHahaha mm nawaonaga sana tu ila kwangu ni fureshi,unakuta kadada kapo kwenye ist kameachia mapaja meupe nje ni mwendo wa kula chabo tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu sana. [emoji28]Miujiza itokee unipe lift ntafurahi sanaaaaa.
π mlevi siku hizi kuna weupe, mahips, makalio na matiti ya kutengeneza... Kuna dawa za kupaka au kumeza, sio mpk plastic surgery.Daah we acha tu halafu ukataka uhudumiwe na nawe[emoji3] hapo unaachaje kuomba namba na Yale mashati yao kifua kimesimama sjui ndo siridia wanazovaa zinayapiga jeki kiaina
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni Dar mkuu, tena ni Alli Hassan Mwinyi road from Tegeta to site sentaKwa wanawake na wadada wa dar kutakuwa na ukweli bt kwa mikoani huku mmh naona wanapenda kuvaa magauni ya vitenge!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeonaee Yaan full vipaja njeHahaha mm nawaonaga sana tu ila kwangu ni fureshi,unakuta kadada kapo kwenye ist kameachia mapaja meupe nje ni mwendo wa kula chabo tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tobaa mbona unanitisha[emoji23] mlevi siku hizi kuna weupe, mahips, makalio na matiti ya kutengeneza... Kuna dawa za kupaka au kumeza, sio mpk plastic surgery.
Mitako mingi na mahips ya wadada ni FAKE [emoji23] [emoji23]
Teh, upepo unatoka wapi kwenye gari?.
Au nikishuka[emoji28][emoji28]
Asante sana ntakaribia nione baraka za long Tshirt.Karibu sana. [emoji28]
Karibu sana. [emoji28]