Upepo unapitaa tuuh unapuliza tu pwaah[emoji3] bora nikingekua upepo sometimes ukiwa human being kuna vitu unavikosa vya kibaharia vya msingi
Sent using Jamii Forums mobile app
daa watoto wa crdb weupee halafu wana ngozi soft hatari sana,kama unaenda ku deposit laki moja unaweza ukaghaili ukaenda kwa wakala ha haDaah wale wa crdb wana sifa wale ukute Toto linachura [emoji3] jeupee
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijaona mkuu
NnaloWewe pia ni mdada lakini...au hauna gari?
Siku nikipanda daladala ndo huwa nawaona. Kuvaa kimini sio ajabu lkn pale inapokuwa vimini vinavaliwa kwenye magari tu 😂 😂 😂 Mbona me navaa popote nnapojisikia?Unaanzaje kuchungulia vioo vya magari ya wanawake hadi kwenye mapaja? Yaani muda hio unakua uko upande UPI?? Umetega mahali au unatembea au unaenda kuchungulia? Sijaelewa! Learn to mind your own business Mpwa!
Kuna siku utakuja kuona my wife wako amepewa lift uanze kuumia! Relax maisha yana mengi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijaelewa, kwahio wewe ni KE?Siku nikipanda daladala ndo huwa nawaona... Kuvaa kimini sio ajabu lkn pale inapokuwa vimini vinavaliwa kwenye magari tu 😂 😂 😂 Mbona me navaa popote nnapojisikia?!?
Hope imekutachJamani ee kuna tofauti ya utafiti na uchunguzi, jua!!
Hongera sana. Sasa kwanini ww hutaki kuonyesha guu la bia😂😂😂Hata kidogo, unajua wavaa vimini ni wale wenye miguu ya chupa ya bia, hupendelea kuringishia walivyopendelewa!! mimi ninayo ya kunipeleka na kunirudisha 😀😀😀
Kukupeleka na kukurudisha..Sentensi yangu ya mwisho ina jibu😀😀mimi nina chupa ya soda yaani ilimradi inafanya kazi yake😂
Dada yupi huyo mkuu?!?Baada ya kupigwa cha ubavu na yule dada. Umeamua kuleta hasira zako humu
😂 😂 hujaelewa nini hapoSijaelewa, kwahio wewe ni KE?
Soma tena ulichoandika, aagh potezea tuendelee na mishe zingine😂 😂 hujaelewa nini hapo
Anavaa nguo fupi sana akijua hana shughuli nyingi za kumuweka nje anajua point zake ni zipi akishuka mara moja anarudi kwene guta yake, tofauti na kwene daladala lazima ujiulize utakaaje na unatumia public transport? Ila mtu yuko ndani ya gari na pengine amepiga tinted we unawaonaje au umesimliwa, haingii akilini acha umbea
[emoji23][emoji23][emoji23] nimependa jibu lako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wote mnayo lakin hamuachi mapaja nje.
Nimekusaidia kuweka picha[emoji1787][emoji1787]View attachment 1328508
Sent using Jamii Forums mobile app