Sasa mapenzi hayakutakinahitaji mapenzi, mapenzi ni zaidi ya sheria mkononi!.
Uko wapi uje kumwagiwa tipa la mapenzi......nahitaji mapenzi, mapenzi ni zaidi ya sheria mkononi!.
Khaaaaa basi sawaa apewe mapenzi hadi adateeeUko wapi uje kumwagiwa tipa la mapenzi......
awe anaenda kuogelea na kunywa maji ya bahari kutwa mara 3 kwa muda wa mwaka mmojaWanawake walivyo wengi umekosa mnyonge wa kukupenda? Una kasoro
Wenye mapenzi ya kweli wako kwa wàume zao, wewe pambana na hizo kwasukwasu utatoboa tuu.Nimechoka kutangatanga nahitaji kuupumzisha moyo sasa mtu unahangaika nakupigwa matukio mpaka unasahau jina lako!.
Wawachape tu hata kialama kidogo kwenye makomwe tujichukulie mapumziko yetu tukatulienayo nyumbani!, hizi ndimu huku mtaani zitatuua!.
kama vipi serikali ingilieni kati tu!.