Wadada wenye mapenzi ya dhati wawekewe nembo!

Wadada wenye mapenzi ya dhati wawekewe nembo!

Nimechoka kutangatanga nahitaji kuupumzisha moyo sasa mtu unahangaika nakupigwa matukio mpaka unasahau jina lako!.
Wawachape tu hata kialama kidogo kwenye makomwe tujichukulie mapumziko yetu tukatulienayo nyumbani!, hizi ndimu huku mtaani zitatuua!.
kama vipi serikali ingilieni kati tu!.
Wanawake siku hizi wote ni matapeli!
 
Ghbv0WDWsAAL5Uv.jpg
 
Back
Top Bottom