Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Ona sasa, mapenzi yanakufata unaanza kurembaremba basi usitusimulieam here here!..😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ona sasa, mapenzi yanakufata unaanza kurembaremba basi usitusimulieam here here!..😅
Komwe hilihili.Kila mwenye komwe ana mapenzi dhati
Utanishukuru baadae
Wanawake siku hizi wote ni matapeli!Nimechoka kutangatanga nahitaji kuupumzisha moyo sasa mtu unahangaika nakupigwa matukio mpaka unasahau jina lako!.
Wawachape tu hata kialama kidogo kwenye makomwe tujichukulie mapumziko yetu tukatulienayo nyumbani!, hizi ndimu huku mtaani zitatuua!.
kama vipi serikali ingilieni kati tu!.
NdioKomwe hilihili.
Muuulize BICHWA KOMWE -komwe never
KUna siri gani kwenye komweNdio
Kwani hujui kuwa Papuchi ni biashara km biashara zingine km unavyoona Genge la Matunda na Mbogamboga.Kuna moja ilikuwa inajifanya inanipenda kumbe ni parasite moja hatari.
Kuna njema mbili zinaikula ukijumlisha na mimi ni wa tatu.
Bado kuna jamaa wwawili wanaifutilia kwa speed.
Nimejitoa.
Kupandisha bendera kwa mkono mmoja kunahitaji ujasiri. Oneni basi huruma, punguzeni mizinga na muwe na mapenzi ya dhati. Pesa mtumie za kwenu. Save manhoodChukua sheria mkononi achana na mapenzi.
Daah ushauri gani huo tena especially kutoka kwa mdada tobaa yarabiChukua sheria mkononi achana na mapenzi.
Washkaji wanatutegea sana kula pisi zote hiziWanawake walivyo wengi umekosa mnyonge wa kukupenda? Una kasoro
😂Chukua sheria mkononi achana na mapenzi.
aiseeMwanamke mwenye pesa/wakishua ana mapenzi ya dhati, tofauti na hapo ni maumivu.