Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku hizi baadhi ya wadada matapeli ni wajanja, hawasubiri mpaka uwatongoze, anakufata mwenyewe anakupa signs na attention kukuonesha kwamba amevutiwa na wewe ili umtongoze, kumbe kiuhalisia anataka akuchune helaTafuta Dem ambaye anaonyesha nia ya kuwa na wewe ndo atakupa mapenzi ya kweli na sio vingnevyo
mkuu inaonekana yamekukuta mengi..!Siku hizi baadhi ya wadada matapeli ni wajanja, hawasubiri mpaka uwatongoze, anakufata mwenyewe anakupa signs na attention kukuonesha kwamba amevutiwa na wewe ili umtongoze, kumbe kiuhalisia anataka akuchune hela
Ukiwauliza why wapo single, ohh hawajapata wanaume wenye mapenzi ya kweli, wakati wao wenyewe hayo mapenzi ya kweli hawana Lamomy Hannah sukeleward Melancholic KENZY Mallerina To yeye
Kisha afanye nnChukua sheria mkononi achana na mapenzi.
Mkuu naomba nije pm unishauri jamboSiku hizi baadhi ya wadada matapeli ni wajanja, hawasubiri mpaka uwatongoze, anakufata mwenyewe anakupa signs na attention kukuonesha kwamba amevutiwa na wewe ili umtongoze, kumbe kiuhalisia anataka akuchune hela
Ukiwauliza why wapo single, ohh hawajapata wanaume wenye mapenzi ya kweli, wakati wao wenyewe hayo mapenzi ya kweli hawana Lamomy Hannah sukeleward Melancholic KENZY Mallerina To yeye
Verry sure mkuuWenye mapenzi ya kweli wapo sema ndio hivyo hujawaelewa . Wale unaowapenda ndio wanakuwa mizinguo
Hizo nembo usiprint utakula hasara.Nimechoka kutangatanga nahitaji kuupumzisha moyo sasa mtu unahangaika nakupigwa matukio mpaka unasahau jina lako!.
Wawachape tu hata kialama kidogo kwenye makomwe tujichukulie mapumziko yetu tukatulienayo nyumbani!, hizi ndimu huku mtaani zitatuua!.
kama vipi serikali ingilieni kati tu!.
Sasa km umekaa kuchunwa chunwa kwann usitongozwe?? 😹Siku hizi baadhi ya wadada matapeli ni wajanja, hawasubiri mpaka uwatongoze, anakufata mwenyewe anakupa signs na attention kukuonesha kwamba amevutiwa na wewe ili umtongoze, kumbe kiuhalisia anataka akuchune hela
Ukiwauliza why wapo single, ohh hawajapata wanaume wenye mapenzi ya kweli, wakati wao wenyewe hayo mapenzi ya kweli hawana Lamomy Hannah sukeleward Melancholic KENZY Mallerina To yeye
Sasa km umekaa kuchunwa chunwa kwann usitongozwe?? 😹
Mkuu umekaa kimyaMwanaume kukaa kuchunwa chunwa ndo kukaaje 😅 Lamomy
At Mimi sijapata wa mapenzi ya kweliSiku hizi baadhi ya wadada matapeli ni wajanja, hawasubiri mpaka uwatongoze, anakufata mwenyewe anakupa signs na attention kukuonesha kwamba amevutiwa na wewe ili umtongoze, kumbe kiuhalisia anataka akuchune hela
Ukiwauliza why wapo single, ohh hawajapata wanaume wenye mapenzi ya kweli, wakati wao wenyewe hayo mapenzi ya kweli hawana Lamomy Hannah sukeleward Melancholic KENZY Mallerina To yeye
Kwenye jambo lolote ambalo linajumuisha hisia za binadamu hakuna guaranteed return ya uwekezaji wako kihisia au kifedha.Nimechoka kutangatanga nahitaji kuupumzisha moyo sasa mtu unahangaika nakupigwa matukio mpaka unasahau jina lako!.
Wawachape tu hata kialama kidogo kwenye makomwe tujichukulie mapumziko yetu tukatulienayo nyumbani!, hizi ndimu huku mtaani zitatuua!.
kama vipi serikali ingilieni kati tu!.
Si naona walalamikamkuu kwanini wasema hivi...?