Wadada wenye pesa wana mapenzi ya dhati sana kuliko wasio nazo

Ukute mwanafunzi mwenzie alimuomba vocha ya buku basi ndio kapanik.
Watulie tu wawe wanaume, lasivyo kulia lia huku wataolewa wajiunge na akina kaoge.
Muda si mrefu tutasikia beira delicious,beira kaoge[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wanachanganya wadada na wanawake. Wavulana wakikutana na wadada au mabinti basi wanajumuisha wote kama wanawake.
Tutamkosa huyu mtu kama hato badilika,soon delicious on making.
 
Mkuu mapenzi ya dhati yamebaki kwenye series za kikorea na kihindi. We hushangai hata bongo movie tu wenyewe wanashindwa kuigiza movie za mapenzi ya dhati.
Bongo mapenzi biashara.
 
Kuna mahubiri ya mchungaji mmoja hivi niliwahi kuyasikiliza akisema, hata Mungu hawezi kuweka agano na mtu masikini coz hana msimamo na agano lake linaweza kuwa batili.

So kwenye hilo naweza kukubaliana na ww kabisa.
 
videm choka mbaya utavijua tu, povu limewajaa kama wanaumwa kifafa [emoji23] [emoji23] [emoji23]
afu vina majina mazuriii kumbe mbwanda kala mbwanda.
Dogo haujanijibu ujue, kwanini ulichagua kuolewa?
 
Mimi nina pesa ndo maana naenda kwa wenye pesa so nikikutana wasichana wenye njaa kamaa huwa nawapiga mikas na kusepa
Baby boy, sasa kama una pesa kwanini unalialia shida tena!! Au hauna uhakika kama unazo?
Usiwapige mikasi tu maana mwisho utapigwa wewe. Sio sifa hiyo mdogo wangu, dunia tambara mbovu hili!!
 
Aliyekwambia kwamba mimi natangoza wanafunz ni nan?

Kwahiyo mnakuwa omba omba kisa sisi wanaume tupo? mtabak kuwa singo maza hivyo hivyo
 
Hapa hakuna anayelia lia

Nimeamua kuliweka waz hili tatizo ili likome

Dunia nzima ijue wadada wa tanzania ni omba omba wamefanya papuch kama mtaji
Hilo sio tatizo, wewe ndio tatizo mdogo wangu, maana umeparamia mambo yaliyokuzidi umri. Ila ungekuwa mkubwa ungetambua kuwa hayo ni majukumu yako ya kawaida tu dogo.

MBITIYAZA hebu njoo huku tusaidiane kumlea huyu mtoto wetu.
 
Hawezi kulalamika maana kanipenda kwa umaskini wangu na raha ya mwanaume akuhudumie
Raha ya mwanaume akuhudumie ndo maana jf imejaa single maza siyo kwa mawazo mgando kama haya
 
Something is wrong somewhere for sure. Twende nao taratibu tu.
 
Bora uongee wewe mwanaume labda wanaweza kukuelewa, maana sie mama zao hawatuelewi kabisa. Akina baba jamani hebu kujeni tuokoe hikikizazi chetu.
Hapana espy hawa unawaacha tu waendelee na "moto " huo huo kwa raha zao mana ni kama wanasema watasaidiwa wake zao muda nguvu zao zikiisha halafu ndo unakuta ndo kwanza miaka 35 kwaio wameshaamua kwamba wakezao wataridhishwa na wengine maana wao kwa sasa wako bize na kuzimaliza nguvu kwa wasichana wengine because they deserve ..sio wake zao they deserve but wengine tu ndo wana deserve nguvu zake.
 
Kuna mahubiri ya mchungaji mmoja hivi niliwahi kuyasikiliza akisema, hata Mungu hawezi kuweka agano na mtu masikini coz hana msimamo na agano lake linaweza kuwa batili.

So kwenye hilo naweza kukubaliana na ww kabisa.
Hakuna mwanamke masikini, bali kuna mwanaume masikini.
 
Nilichogundua mpaka dakika hii tunabishana na watoto ambao na wao pia wanataka kulelewa hivyo hawawezi tuelewa
Tuko juu ya 18 hakuna mtoto hapa wala hakuna anayetaka kulelewa swala ni moja tu punguzen njaa
 
Aliyekwambia kwamba mimi natangoza wanafunz ni nan?

Kwahiyo mnakuwa omba omba kisa sisi wanaume tupo? mtabak kuwa singo maza hivyo hivyo
Kwani hao watoto si wanakuwa wenu? Usijisifie kuzalisha na kuacha mdogo wangu. Ndio maana nakwambia umri ndio shida. Ila jitahidi sana usizalishe kabla ya ndoa.
 
Nguvu haziishag kiongoz wangu acha uoga
 
Sasa tukiwaacha huoni ndio litakuwa tatizo la baadae huko, emagine ndio akawa mume wa mwanao!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…